Mh kova nae aliomba picha na drogba??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wanandugu nimeona mada ya kinyaia akiomba kupiga picha na didie drogb a wa ivory coast,bahati mbaya akufanikiwa
leo hii ukurasa wa mwisho dar leo kuna picha didie anaonekana katoka mazoezi kashika jesi,mzee wa watu kamanda KOVA kasima mama pembeni yake kama anampa salute;ssasa na huyu nae aliomba au aliombwa picha na drogba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…