Wanandugu nimeona mada ya kinyaia akiomba kupiga picha na didie drogb a wa ivory coast,bahati mbaya akufanikiwa
leo hii ukurasa wa mwisho dar leo kuna picha didie anaonekana katoka mazoezi kashika jesi,mzee wa watu kamanda KOVA kasima mama pembeni yake kama anampa salute;ssasa na huyu nae aliomba au aliombwa picha na drogba