Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
acha jazba,The cycle is closing, ma- snitch tunawajua, lkn huyo Kubenea anacheza ngoma asiyeijua, yeye anatumiwa tu.
Huwezi kufanikiwa ukiishi chini ya madeni usifanye masihara na madeni....Mwanaume lzm udaiwe tutalipa tu uchumi unakua Kwa kasi pesa ipo
acha jazba,
mtaambia nini watu kuhusu ndege iliyotekwa kwasababu ya madeni mliyosababisha??
Round hii mtampiga nani risasi??
Walipompigia simu Ramaphosa ili awaokoe akawaambia kwamba " HUKU KWETU HATUINGILII UAMUZI WA MAHAKAMA " mwisho wa kunukuu .acha jazba,
mtaambia nini watu kuhusu ndege iliyotekwa kwasababu ya madeni mliyosababisha??
Round hii mtampiga nani risasi??
Huyu 2020 hapiti.Chuki itakusaidia nini, vitu vingine sio lazima useme hadharani
ukabila umekumaliza hadi unatia aibu !Umefurahia sana ndege yetu kushikwa, kana kwamba utapandishwa daraja kuwa high Mangi kama Mbowe, utasubiri sana, hiyo nafasi ulio nayo ndiyo hiyo hiyo.
Mkuu hao ni kama kundi LA fungo walioshiba na kuvimbiwa.Nyie wenzetu ni slow learners. Huwa inawachukua muda mrefu sana kuelewa mnachoambiwa na watu wanaoona mbali, na yakitokea mliyoambiwa mapema kabisa kuwa yatatokea mnaanza kuwalaumu waliowapa tahadhari!
Nimekosea hata kukuiteni "slow learners", you guys never learn at all.
usipanic.Umefurahia sana ndege yetu kushikwa, kana kwamba utapandishwa daraja kuwa high Mangi kama Mbowe, utasubiri sana, hiyo nafasi ulio nayo ndiyo hiyo hiyo.
Huyu 2020 hapiti.
Sisi ndio tulimchagua 2015 kwasababu ya kuipenda chadema, lakini tumegundua jamaa hafai .
Mbona jimbo la jirani la segerea tunamuona bonnah anashughulika na changamoto jimboni kwake lakini kubenea hajawahi kuja haswa kata ya kimara.Tatizo lenu mkiambiwa ukweli mnasema Chuki
Shukrani kwa kumstukiaSawa nimekuelewa ila wewe si Mwanachadema
Hasahau!?XXXXXXXXXJuzi nilikuwa nawaambia washikaji wangu wa kimara kuwa huyu kura yangu hasahau
Alikuahidi atakupiga miti then hayatekeleza au?Yan msela kama sio mbunge wetu tu, alituhaidi vijiahadi ambavyo amevipotezea na katupotezea kabisa sisi wananchi wake
Kikao kuzuiwa na jeshi la polisi
Mwanachadema hakosoi chadema?Sawa nimekuelewa ila wewe si Mwanachadema
wewe ndio hukuelewaHuyu huyu mheshimiwa ndiye aliyesema eti ndege zilizoletwa na mbovu ndio maana zilimwagiwa maji zilipowasili.
Hajui maana ya water salute, na akawapata wajinga wengi tu mitandaoni.