Akijiuzuru familia yake itakula nnSijui anasubiri nini kujiuzulu hadi leo bado
Kujiuzulu tena? Huyu automatically sio Rais wa TFF tena amepoteza sifa apambane na kesi. Ukabila dhuluma na upendeleo vimemtokea puaniSijui anasubiri nini kujiuzulu hadi leo bado
Life sentence apewe??sasa hapo atakuwa analinda heshima gani..?
Au tafsir ya heshima siku hizi imekuwa tofaut..?
Malinzi hafai hata kukanyaga uwanja wa Taifa kuja kuangalia mechi yoyote
Malinzi anapaswa akae huko huko Segerea
Amepitishwa kugombea tenaHabari wana JF,
Kwa kashfa ambayo Mh rais wa TFF Bw. Jamal Malinzi nadhani ni busara sana kwake kukaa pembeni kwa kutangaza kujiuzuru nafas yake.
Hii itaendelea kulinda heshima yake na huku akiacha uchunguzi wa kesi yake ukiendelea.
Binafsi nasubiri kwa hamu kusikia tamko na barua kutoka kwake ili jamii iendelee kumuheshimu na kueleweka sana.
Ni mawazo tu