Mh. Mbowe kuomba msamaha kwa Watanzania

Mh. Mbowe kuomba msamaha kwa Watanzania

Mudawote

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2013
Posts
10,771
Reaction score
14,129
Great Thinkers,

Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.

Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?

Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
 
Sijui Mbowe alikukula akakutosa?

Umeshika kinyongo mpaka leo!

Buahahaaaa,who cares!
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Great Thinkers,

Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.

Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?

Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Kama kuna jambo la msingi na la muhimu kuiokoa cdm kwa sasa,ni kupiga goti na kuomba msamaha kwa usaliti alioufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great Thinkers,

Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.

Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?

Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Kuna watu wawili hakika wanatakiwa kupiga goti kwa watanzania kwa kuchukulia poa hili gonjwa najua unawajua, unataka kuwajua zaidi?
1..... Tz
2.... Dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great Thinkers,

Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.

Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?

Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Watanzania tutamuelewa. Kutubu kukosa na luomba msamaha ni kitendo cha kishujaa.. aombe tu msamaha kwa watanzania. Hata chadema labda itaweza kurudisha imani kidogo kwa wachache!
 
Kuna watu wawili hakika wanatakiwa kupiga goti kwa watanzania kwa kuchukulia poa hili gonjwa najua unawajua, unataka kuwajua zaidi?
1..... Tz
2.... Dsm

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa lipi?
tundu lissu awe namba moja na kamanda mbowe namba mbili, laa sivyo dhambo zao za usaliti zitawatafuna EACH AND EVERY LAST PART OF THEM mpaka mwisho.
 
Great Thinkers,

Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.

Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?

Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Kipi chenye faida kufika bei au kupiga goti
 
Labda
IMG_20200513_183644.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Great Thinkers,

Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.

Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?

Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!

Hivi mbona wewe kigagula, mbowe amekuganda sana kichwani mwako..!?
Bila shaka itakuwa alikukaza kisawasawa kwa kukushikisha ukuta, then akukubwaga!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Great Thinkers,

Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.

Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?

Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Upuuzi mtupu
 
Back
Top Bottom