Mbowe nafsi inamsuta sanaaa
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Kama kuna jambo la msingi na la muhimu kuiokoa cdm kwa sasa,ni kupiga goti na kuomba msamaha kwa usaliti alioufanyaGreat Thinkers,
Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.
Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?
Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Kuna watu wawili hakika wanatakiwa kupiga goti kwa watanzania kwa kuchukulia poa hili gonjwa najua unawajua, unataka kuwajua zaidi?Great Thinkers,
Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.
Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?
Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Watanzania tutamuelewa. Kutubu kukosa na luomba msamaha ni kitendo cha kishujaa.. aombe tu msamaha kwa watanzania. Hata chadema labda itaweza kurudisha imani kidogo kwa wachache!Great Thinkers,
Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.
Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?
Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Kwa lipi?Kuna watu wawili hakika wanatakiwa kupiga goti kwa watanzania kwa kuchukulia poa hili gonjwa najua unawajua, unataka kuwajua zaidi?
1..... Tz
2.... Dsm
Sent using Jamii Forums mobile app
Na bado hao wanafiki ndio wanaopiga ngoma ya wewe kukata mauno huku ukitabasamu na mikono juu...Siku hizi nikishaona mtu kavaa CCM, jambo lakwanza linalonijia kichwan.
Huyo mtu atakua ni BONGE la mnafiki hafai hata kua rafiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia unaweza kuongezea CCM CHAMA DUMEEti ni kweli Dr.Mollel alikuwa Chadema amekuwa Naibu Waziri wa Afya?
CCM DAMU DAMU CHAMA CHA MAMA NA BABA
Kipi chenye faida kufika bei au kupiga gotiGreat Thinkers,
Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.
Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?
Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Great Thinkers,
Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.
Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?
Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!
Upuuzi mtupuGreat Thinkers,
Nawaza waza, kwa jinsi vikundi vya wapinzani walivyoshindwa kuiyumbisha Tanzania chini ya Jemedari mahiri na makini, mcha Mungu Dkt Magufuli ninaona kabisa Mh. Mbowe akipiga goti kuomba msamaha kwa watanzania na kwa taasisi ya Rais.
Je, akipiga goti na kutubu nyie mashabiki wake mtamtukana kuwa kanunuliwa? Au mtampongeza? Na je mtameza matapishi yenu yote ambayo mmekuwa mkibeza na kutukuana kutwa nzima taasisi ya urais?
Ni hayo tu, stay tuned, Mh. Mbowe very soon anamwaga manyanga!