Elections 2010 Mh. MDEE TEKELEZA AHADI ZAKO WANANCHI HATUKUELEWI AISEE

Bado ni mapema mno kuanza kuangalia utendaje wa Mdee kama unafaa au la!
 
Eh, Yesu wangu! Hizo ahadi za jk zimechakachuliwa au ni mi sikuzijua zote?
 
Acha kutoa povu kijana, sasa kama Rita hakufanya basi na Halima asifanye, sasa mabadiliko yalikuwa na umuhimu gani?..

mkuu serikali inakopa fedha za kulipa mishahara hivi hizo pesa za miradi kama barabara zitapatikana wapi?
 
Yani kiherehere tu! kwani wewe ndio msemaji wa wanakawe?? Naona una chuki binafsi na Mdee pamoja na chadema, hivi wewe si usubiri kwenye bunge la bajeti 2011/2012 kama hatatetea jimbo lake kwa ku pinpoint hayo matatizo yenu.

Nilijua utakuja tuu, lols

PM yangu umeipata, hapa Rio Connection mbaya sana sikuwa sure kama umeipata au la.
 
Mhhh...kwa uelewa huu,unafanya kazi gani D.C? Au labda ni signature tuu,sorry. Na pia najaribu kujiuliza ulikua unaongea nini na wawekezaji siku hiyo Hilton,au labda ulikua dereva wao?
Mkuu endapo kazi ya JIMBO la KAWE imewashinda wataweza kuachiwa dola hawa, hametuaminisha kupitia mtihani mdogo wa JIMBO LA KAWE kuwa kazi hawaiwezi.
 
 
Mhhh...kwa uelewa huu,unafanya kazi gani D.C? Au labda ni signature tuu,sorry. Na pia najaribu kujiuliza ulikua unaongea nini na wawekezaji siku hiyo Hilton,au labda ulikua dereva wao?

Mkuu Mshindo heshima mbele,

Maslahi ya Taifa letu ndiyo jukumu letu la kwanza watu wengine, vitendo tu na si kujificha nyuma ya monitors.

Vipi msharaha umeshaingia, ndiyo tarehe zenyewe hizi.

Bwa...ha ha ha ha
 
Mkuu endapo kazi ya JIMBO la KAWE imewashinda wataweza kuachiwa dola hawa, hametuaminisha kupitia mtihani mdogo wa JIMBO LA KAWE kuwa kazi hawaiwezi.
Wewe huwa unasoma msitari wa kwanza then unakimbilia kujibu.....
 
Mkuu funds zipo nazikuwa na zimetengwa tayari kwa kazi hizo..tatizo ni ufuatiliaji.

Kumbe tatizo siyo Mdee bali ni watendaji wa halmashauri ndo wabovu, kwa nini mpaka wafuatiliwe kwani hawajui wajibu wao? Permanent solution ni kuiondoa madarakani serikali isiyo wajibika.
 
Rita Mlaki alifanya nini? Miaka 5 aliyokaa pale

alijiuzia sehemu ya eneo la tanganyika pekazi na kumhamishia Ngurumo ya upako kwenye viwanja vile na kabweteka hataki kutafuta na kujenga pa kwake.
Mdee hakika unawaliza wana kawe kwani wanatozwa pesa za taka wamesha kulalamikia wala hujawasaidia lolote au watoza pesa una ubia nao?
 
Yaani kujitetea kwa namna hii ni kwa kitoto saana. Mbona fulani kafanya hivi??? Ukweli Mdee hana uwezo wa kujenga barabara isipokuwa kuishauri na kuishawishi serikali juu ya umuhimu wa barabara ile.

Sasa kumbe una majibu, msaidiae kuishauri serikali.
 

huna akili wewe. unaambiwa mdee wewe unamuongelea kikwete; Pambaf..ungekaa kimya na copy and paste yako hiyo
 
Rita Mlaki alifanya nini? Miaka 5 aliyokaa pale

inaelekea kimekuuma sana sunguratope wewe,,,kama vp fungua thread kuhoji rita mlaki alifanya nini. hapa anayeongelewa ni mbunge wa sasa, acha kupindisha thread
 

kiinachokusumbua si upungufu wa akili bali ni MUENDELEZO WA CHUKI wa chama kileeee...ebu angalia rangi za avatar yako utaelewa nnachomaanisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…