Elections 2010 Mh. MDEE TEKELEZA AHADI ZAKO WANANCHI HATUKUELEWI AISEE

Huyu Mdee hana hela ya kujenga barabara.. Inabidi aibinye serikali na hii ya CCM lazima achemke..angalau aonyeshe kuwabana waskie aibu basi... Nilisahau kuwa namimi huyu ni mbunge wangu eti...! lol itabidi nifwatilie ahadi zake, inawezekana Kinyambiss nikaingia kwenye kinyan'ganyiro 2015..hehehe. ( I am just extra happy today JF, dont mind me).
 
huna akili wewe. unaambiwa mdee wewe unamuongelea kikwete; Pambaf..ungekaa kimya na copy and paste yako hiyo

78. Watoto wataenda kufanya elimu ya Mazoezi ya masomo ya sayansi Mwezini --- Cholesamvula

80. Polisi watakuwa wakitumia Helicopter ili kupunguza foleni -----Kikwete alitoa ahadi hii kule Msoga, Chalinze
 

Asante sana Babuuuuuu!
 

Afanye kwa bajeti gani?? Uchaguzi uliisha lini,
 
Mliambiwa mkichagua mbunge mtapata barabara?! lol, mmeliwa. Next time try fact pills.
 
78. Watoto wataenda kufanya elimu ya Mazoezi ya masomo ya sayansi Mwezini --- Cholesamvula

80. Polisi watakuwa wakitumia Helicopter ili kupunguza foleni -----Kikwete alitoa ahadi hii kule Msoga, Chalinze

sasa mzee kwa nini usifungue thread ya kujitegemea, au ndio unakataa kwamba mdee hakutoa hizo ahadi na kashindwa kutekeleza? au ndio kuamini kwamba hakuna kinachoshindikana kwa wabunge wa chadema na kikishindikana basi kuna mkono wa mtu ??
 
Mdee choka mbaya ukija suala la utekelezaji wa ahadi;
1. Anasumbuliwa na kesi ilifunguliwa na Mbatia, hana unakika wa kutopoteza jimbo
2. Muda mwingi anatumia kuzunguka majimbo mengine ya uchaguzi; mara Arusha Mjini mara leo yuko Nyamongo!
3. Anatumia muda mwingi kufikiri namna ya kuandaa na kutelekeleza mradi wa CDM wa maandamano
4. Hahudhurii vikao vya baraza la madiwani Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni ambako mipango huanzia
5. Hatoi ushirikiano kwa Mkurugenzi wa Manispaa na DC wa Kinondoni.

Sie wananchi wa Mzimuni ni mashahidi wa jinsi asivyokuwa na utu kwani KIPINDI CHA MAJOZI ULIOTOKANA NA MACHAFUKO YA KUGOMBEA ARDHI hakutia mguu eneo la Madale.
 
Kamanda Aksante sana kwa changamoto. Si kwamba natetea uzembe .

Mkuu kazi ya mbunge ni full time time job but kama fund zimetoka basi hilo ji jukumu la jiji na wakurugenzi wake katika plan yao. Nachoona wengi wengi hatujui mamlaka , wajibu na kikomo cha wabunge.

Na wenyewe wabunge wengine hawajui kikomo cha madaraa yao. Kama kazi ya hiyo bara bara anayosema mleta mada Anaweza kupata na jibu kwa hara haraka ni diwani wa eneo husika na si mbunge. Kiutekelezaji na kiufutaliaji kwa hii secific case ya bara bara mbunge hapo ni 2nd best. Hapa siongeli siasa naongela taratibu za kitendaji.

Unaona wewe umeweza kufutiia na kupata jibu inawezekana mleta mada hajui hata number ya diwani wake. Nachojua mimi madiwani ndo wana plan na kupitisha badget za matumizi ya miradi fulani ya mendeleo. Kwa hii case wa kumfatilia nrudia si bunge uienda kwa mbunge ni sawa but the best ni diwani

Ingependeza Jf ikaazisha database ya official contact ya viongzi wte wa kisiasa.
 

Akihojiwa mbunge wa chadema, watakuja juuuu kama moto wa kifuu na kudai wanaonewa, una chuki mara hivi na kukuita majina meeengi. lkn ukweli unajulikana, huyu amezidi usista duu na anayebisha na abishe
 

huyu rita yeye alifanya nini? Kwa miaka yote aliyokaa kawe? Iweje miezi minne umlaumu dada mdee? Acha ujinga subiri miaka mitano iishe alafu uulize amefanya nini
 
huyu rita yeye alifanya nini? Kwa miaka yote aliyokaa kawe? Iweje miezi minne umlaumu dada mdee? Acha ujinga subiri miaka mitano iishe alafu uulize amefanya nini

yaani Mdee ndio kakutuma na kukwambia uwaambie wapiga kura waliomchagua wasubiri na kuendelea kuumia hadi baada ya miaka mitano ??
 
Huyu mbunge ni ovyo viwanja Vya wazi vinavyamiwa hakuna Msaada wowote anafahamishwa yuko Kimya wala afiki sehemu husika. Kippe warioba ndiye angetufaa jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…