Mh Mrema katika pozi la kutuma sms nje ya bunge!!!!!!!!!!

Jamani hizi nyingine msitupostie maana zinatuua mbavu!!! anyway mjengoni mambo yatanyooka na mpaka 2012 mtakuwa mmemsahau. Shikeni sura hiyo mlinganishe na 2012
 
Ngoja bunge lipambe moto ndo utaona kuwa ata sukari alikuwa hana.
Mshahara wa 12mil
 
Mi hiyo suti ndo kaniacha hoi...utadhani katibu kata wa Mtogole...ila Mrema huwa amind saana mambo ya pamba...yeye ni mabomu tuu:smile-big:
 
Kachoka sana sijui kampeni alifanyaje?
 
Wabongo kwa madongo ya ajabu , kuna mtu anasema alifikiri wazee waliofanya kazi East African Community wanaodai mafao yao.
 
CCM noma jamaa walimfix mpaka kabakia mbavu tu ni noma
 
Hapa Chaguzi Ndogo inanukia John Mrema anza jaramba
 
hiiiiiiiiiiiiii kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,hata badilika sana huyo mheshimiwa.
 
Maweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!! Tinkakibonaga eki!!!!!!!!!!!!!!!!
 
kwa kweli anahitaji kupigwa sopu sopu afanana na wenzie, mkuu Leonard nakubaliana na wewe mia kwa mia :nono:
 
Mi hiyo suti ndo kaniacha hoi...utadhani katibu kata wa Mtogole...ila Mrema huwa amind saana mambo ya pamba...yeye ni mabomu tuu:smile-big:

Mabomu? Sijui atayatoaje enzi hii baada ya kumfagilia mkwere na uchaguzi mzima wa safari hii. Labda ageuzie kibao kambi ya upinzani "isiyo na shukrani". Chama tawala safari hii kikae mkao wa kula tu mbele ya mzee wa kiraracha akiongoza vita ya panzi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…