Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Pengine wengi wanachukia fiesta lakini tatizo halisi si jinsi ilivyo
bali ni ufuska unaotokea kwenye hiyo fiesta ndugu wapendwa nakumbuka mara ya mwisho
nilihudhuria yaani wanawake wanaenda gizani wanafanywa live tena awavai hata chupi na mbaya wanafunzi
wa boarding wanajazana kibao kibao mwisho wa siku tunatengeneza mimba za gizana zisizojulikana na baba zao
je hawa yatima wanaotarajiwa kesho watatunzwa na joseph ,ama ruge mutahaba??
bali ni ufuska unaotokea kwenye hiyo fiesta ndugu wapendwa nakumbuka mara ya mwisho
nilihudhuria yaani wanawake wanaenda gizani wanafanywa live tena awavai hata chupi na mbaya wanafunzi
wa boarding wanajazana kibao kibao mwisho wa siku tunatengeneza mimba za gizana zisizojulikana na baba zao
je hawa yatima wanaotarajiwa kesho watatunzwa na joseph ,ama ruge mutahaba??