Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 266
Bora ameamua kukaa kimya nadhani wazee wenye busara wamemtulizamzee R Mengi yupo bwana mwache mzee wetu atufunguwe macho watanzania
anajipangaa...hatakiwi kukaa kimyaa kwani yeye in voice of many voiceless out there!!!!Bora ameamua kukaa kimya nadhani wazee wenye busara wamemtuliza
Kuna thread ya mzalendo ilianzishwa hapo kwenye jukwaa la siasa kwa tafsiri ile mengi si sauti ya wote maana hafit kwenye uzalendoanajipangaa...hatakiwi kukaa kimyaa kwani yeye in voice of many voiceless out there!!!!
ana waumini wake lukuki na inamfanya yeye kuwa sauti yao hata kama hana uzalendo unaotakiwaa na watu fulaniKuna thread ya mzalendo ilianzishwa hapo kwenye jukwaa la siasa kwa tafsiri ile mengi si sauti ya wote maana hafit kwenye uzalendo
Mkuu kandambilimbili;
Sakina hawezi kujibu, kwa sababu si amechkuliwa na mafisadi,hamna la kujibu jibu ndo hilo.
Bora ameamua kukaa kimya nadhani wazee wenye busara wamemtuliza
Muulize SAKINA
ukiona kobe kakaa kimya ujue...............
... anatunga sheria!!!!!
... anatunga sheria!!!!!
AMEFULIA.
mtafutieni hoja otherwise AJIRA zenu zitakuwa mashakani
AMEFULIA.
mtafutieni hoja otherwise AJIRA zenu zitakuwa mashakani
Tushirikiane kumtafutia hoja. Wanataka kummaliza kabisa. Ila tulishamwambia asione system na baadhi ya uongozi wanamchekea afikiri wanamtaka. They wish him vanish ni vile wanaona itakuwa ni sooo la nguvu. Akae wima na kwa machale.
Sakina Datoo au mwingine??? Kama ni huyu niliyetaja ni mshikaji wa mafisadi na nilishangaa Mengi alimwajirije kama group editor. Yaani hakusoma alama tu, ni kuwa Mengi alikuwa ameajiri mtu hatari, ni kama vile yule Badra Masoud tu!!!! Naamini hapa wanaofahamu wataunganisha the dots.
Mzee wetu acha atulie, wafuasi anao, ananisemea mimi, yule, sisi, wale, wao, yaani wazalendo wa Kitanzania. Ananisemea kupitia vyombo vyake vya habari kwa kuthubutu kusema wazi na kufichua ufisadi halafu serikali eti kwa kutaka kumkomoa inataka mmiliki wa vyombo vya habari awe nacho kimoja tu. Hawana adabu kabisa. Wapi demokrasia Tanzania. Tunataka uhuru wa vyombo vya habari kwani vinaelimisha umma.
Niambie watanzania wangapi wanasoma magazeti ya TSN ambayo usambazaji wake ni tabu tu?? Wanataka kuturejesha kule kweusi na miswada yao ya kinafiki.
Hivi nyie waandishi mlioko huku, hakuna World Organisation ya Media ambayo mnaweza kwenda pale mkapeleka ule mswada ili waweze kusema kidunia??? Haiwezekani kidunia viongozi wa Tz wafungie mambo ya kutangazwa wanapotembelea nchi za watu kama vile mlivyoamua kumfungia Mkuchika?