Mh. Rais Kikwete huwa anasahau haraka, suala la katiba halihitaji msimamo bali maoni!

Mh. Rais Kikwete huwa anasahau haraka, suala la katiba halihitaji msimamo bali maoni!

Makala Jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2011
Posts
3,395
Reaction score
1,112
Wasalamu ndugu; Mara nyingi huwa natenga muda kuchunguza yanayozungumzwa na viongozi leo kwa kulinganisha na yale waliyonena jana. Kama ilivyo ada kwamba mkubwa ni jalala, nimeamua kupima kauli za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Mhe.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na kugundua kwamba pengine anasahau haraka kauli zake au anashindwa kuufanya umma uelewe ni wakati gani anazungumza kama Rais/Mwenyekiti wa CCM. Ni majuzi tu alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, "Wana CCM wajiandae kisaikolojia endapo wananchi wataamua muungano wa serikali 3". Lakini kwenye sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa CCM, amesema msimamo wa CCM ni serikali mbili na wanaotaka serikali 3 wawashawishi wana CCM.Hoja inaibuka hapa, Mhe.Warioba aliongoza tume yake kukusanya maoni ya nani kama si wananchi wenyewe? Ni vishawishi gani anavyovitaka Mhe.Kikwete na wana CCM wengine ili wakubaliane na tume ya Jaji Warioba? Na je, suala la katiba linahitaji maoni au misimamo?
 
Wasalamu ndugu; Mara nyingi huwa natenga muda kuchunguza yanayozungumzwa na viongozi leo kwa kulinganisha na yale waliyonena jana. Kama ilivyo ada kwamba mkubwa ni jalala, nimeamua kupima kauli za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Mhe.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na kugundua kwamba pengine anasahau haraka kauli zake au anashindwa kuufanya umma uelewe ni wakati gani anazungumza kama Rais/Mwenyekiti wa CCM. Ni majuzi tu alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, "Wana CCM wajiandae kisaikolojia endapo wananchi wataamua muungano wa serikali 3". Lakini kwenye sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa CCM, amesema msimamo wa CCM ni serikali mbili na wanaotaka serikali 3 wawashawishi wana CCM.Hoja inaibuka hapa, Mhe.Warioba aliongoza tume yake kukusanya maoni ya nani kama si wananchi wenyewe? Ni vishawishi gani anavyovitaka Mhe.Kikwete na wana CCM wengine ili wakubaliane na tume ya Jaji Warioba? Na je, suala la katiba linahitaji maoni au misimamo?

Hujaelewa nini hapo sasa au unataka kutupotezea muda wetu tusilale mapema. Muda wa maoni umekwisha sasa unafuata msimamo wa kila kundi. JK kasema msimamowa CCM ni serikali tatu, nanyi CHADEMA nendeni na msimamo wenu mtakutana DODOMA kitaeleweka. Mlikuwa mnakwenda kunywa juice IKULU mnafikri ndo Katiba inapatikana pale? Sasa itafuteni DODOMA, Hakuna nafasi tena ya juice za IKulu, mkashindane kwa hoja.
 
Wasalamu ndugu; Mara nyingi huwa natenga muda kuchunguza yanayozungumzwa na viongozi leo kwa kulinganisha na yale waliyonena jana. Kama ilivyo ada kwamba mkubwa ni jalala, nimeamua kupima kauli za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Mhe.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na kugundua kwamba pengine anasahau haraka kauli zake au anashindwa kuufanya umma uelewe ni wakati gani anazungumza kama Rais/Mwenyekiti wa CCM. Ni majuzi tu alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, "Wana CCM wajiandae kisaikolojia endapo wananchi wataamua muungano wa serikali 3". Lakini kwenye sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa CCM, amesema msimamo wa CCM ni serikali mbili na wanaotaka serikali 3 wawashawishi wana CCM.Hoja inaibuka hapa, Mhe.Warioba aliongoza tume yake kukusanya maoni ya nani kama si wananchi wenyewe? Ni vishawishi gani anavyovitaka Mhe.Kikwete na wana CCM wengine ili wakubaliane na tume ya Jaji Warioba? Na je, suala la katiba linahitaji maoni au misimamo?


Naamini huyu Mh. ameshasahau kilichojiri Kenya, Wananchi walidanganywa na serikali ya Kibaki, wakachakachua maoni ya wananchi ili wananchi waikatae Katiba kwenye kura za maoni. Orange walishinda na ikabidi waingie kwenye uchaguzi Mkuu kwa Katiba ya Zamani ambayo ilikuwa imejaa ubabe na ndiyo sababu jamaa aliapishwa chap chap.
Matokeo yake watu wako The Hague, Nawashauri CCM wasijaribu kubadili maoni ya wananchi, vinginevyo wanataka kutuingiza kwenye shida kama ya Kenya. Uongozi wa CCM umeshatujeruhi vya kutosha, sasa wameghariia zoezi la Maoni na Tume ya Waryoba wametumia mabilioni, halafu kumbe wanayo Katiba yao mbadala.

Hakuna Mtanzania atakayewaachia waendelee kutuumiza tena kwa kipindi kingine tena tuendelee kunyamaza tu.
 
Msimamo wa ccm Ni serikali tatu maajabu Hayo rekebisha kauli utafukuzwa unacheka
 
thatha; Kama hayo ndiyo maamuzi ya chama cha zamani, bila shaka mmepotoka sana.Kila kundi likiweka msimamo tutapataje katiba yenye kukidhi haja ya makundi yote kwa asilimia kubwa? Je, unajua kwamba makundi yako mengi zaidi ya vyama vya siasa?
 
Last edited by a moderator:
alvoo; Ili tupate katiba mpya hatuhitaji misimamo bali maoni na si maoni yote yataingizwa kwenye katiba mpya.Maoni yasiyoendana na wakati ni vema yakaachwa pembeni kama ambavyo tume iliyaweka kapuni maoni ya CCM.Hapa misimamo inakujaje?
 
Last edited by a moderator:
Wasalamu ndugu; Mara nyingi huwa natenga muda kuchunguza yanayozungumzwa na viongozi leo kwa kulinganisha na yale waliyonena jana. Kama ilivyo ada kwamba mkubwa ni jalala, nimeamua kupima kauli za Mwenyekiti wa CCM na Rais wa JMT Mhe.Dr.Jakaya Mrisho Kikwete na kugundua kwamba pengine anasahau haraka kauli zake au anashindwa kuufanya umma uelewe ni wakati gani anazungumza kama Rais/Mwenyekiti wa CCM. Ni majuzi tu alinukuliwa na vyombo vya habari akisema, "Wana CCM wajiandae kisaikolojia endapo wananchi wataamua muungano wa serikali 3". Lakini kwenye sherehe za maadhimisho ya kuzaliwa CCM, amesema msimamo wa CCM ni serikali mbili na wanaotaka serikali 3 wawashawishi wana CCM.Hoja inaibuka hapa, Mhe.Warioba aliongoza tume yake kukusanya maoni ya nani kama si wananchi wenyewe? Ni vishawishi gani anavyovitaka Mhe.Kikwete na wana CCM wengine ili wakubaliane na tume ya Jaji Warioba? Na je, suala la katiba linahitaji maoni au misimamo?

Nakubaliana nawe juu ya hoja zako. Ni kweli alisema wasiotaka kufuata maoni ya wananchi hafai kuongoza taifa halafu kwa mbwembwe alipokea maoni ya wananchi na sasa anatuletea juu ya msimamo.
 
Hujaelewa nini hapo sasa au unataka kutupotezea muda wetu tusilale mapema. Muda wa maoni umekwisha sasa unafuata msimamo wa kila kundi. JK kasema msimamowa CCM ni serikali tatu, nanyi CHADEMA nendeni na msimamo wenu mtakutana DODOMA kitaeleweka. Mlikuwa mnakwenda kunywa juice IKULU mnafikri ndo Katiba inapatikana pale? Sasa itafuteni DODOMA, Hakuna nafasi tena ya juice za IKulu, mkashindane kwa hoja.

we ndo hauja mwelewa mleta mada ,tume ya warioba iliundwa kukusanya maoni ya wanachi na ndio imeyaeta sasa cc kama chama wanataka kutumia wingi wa wabunge wao kupitisha msimamo wao wa serikali mbili bila kuheshimu maoni ya wanaanchi waliowaweka madarakani,ndio maana tulipinga hili bunge lisiwe bunge la katiba cc wakalazimisha kwa wingi wao wakijua wanakuja kufanya nini na hii laana haitawaacha
 
Hope tunajua namna Buge la katiba litakavyokuwa na wajumbe wengi kutoka CCM hivyo wananchi wapenda Katiba Mpya tujiandae katika kupiga kura ya maoni ili tuiangushe km itakuwa imechakachuliwa kinyume na maoni yetu.!
 
Bunge la Katiba litaamua wapi pa kuelekea. Tuache poropaganda
 
Nakubaliana nawe juu ya hoja zako. Ni kweli alisema wasiotaka kufuata maoni ya wananchi hafai kuongoza taifa halafu kwa mbwembwe alipokea maoni ya wananchi na sasa anatuletea juu ya msimamo.
Naona hamkumuelewa kaisa JK. Bora mkae kimya tu
 
Wakati wote JK yupo sahihi na huwa ana msimamo kwa maslahi ya Taifa
 
Kwa suala la katiba jk kashatengeneza ulingo wa masumbwi bila kujua, vile bado anataka kuwa refa wa mpambano, ccm swala la katiba lazima liwatokee puani hilo mjiandaye kwa lolote.
 
Naona hamkumuelewa kaisa JK. Bora mkae kimya tu

Asie na kauli thabiti hawezi kueleweka. Ikiwa nyinyi wenyewe hamumuelewi anapokwambieni mjitayarishe kisaikolojia juu ya maamuzi ya wengi.
 
Hujaelewa nini hapo sasa au unataka kutupotezea muda wetu tusilale mapema. Muda wa maoni umekwisha sasa unafuata msimamo wa kila kundi. JK kasema msimamowa CCM ni serikali tatu, nanyi CHADEMA nendeni na msimamo wenu mtakutana DODOMA kitaeleweka. Mlikuwa mnakwenda kunywa juice IKULU mnafikri ndo Katiba inapatikana pale? Sasa itafuteni DODOMA, Hakuna nafasi tena ya juice za IKulu, mkashindane kwa hoja.

Ninavyoamini mimi Dodoma pekee siyo maamuzi ya mwisho,kura za maoni ndo maamuzi ya mwisho. Na siyo lazima kura za maoni zikubali serikali tatu, siyo lazima zikubali serikali2.
 
Back
Top Bottom