Hii ni muhimu kujua nchi inajimuikaje na dunia kuhusi corona. Tilijitoà na tukasusia WHO na policy zao na Corona containment, msimamo wa serikali yako ni ipi? Kuhusi vaccine etc etc.
Mfano, Kama kutakuwa chanjo ya bure toka WHO je serikali iko tayari kuwaruhusu wanaotaka kuchanjwa wachanjwe?
Mfano, Kama kutakuwa chanjo ya bure toka WHO je serikali iko tayari kuwaruhusu wanaotaka kuchanjwa wachanjwe?