Leo mh sitta akiwa sambamba na paul makonda na hamis kigwangala wameandamana kuchukua fomu hiyo;ila mizingwe na mkakati wa kumkwamisha sitta ume anza kubainika unao fanywa kwa siri sana na mahasimu wake
haha..nenda 6 ,tukatumie office yako kuchukua wanaCCM kibao ili wapigia kura upande wa haki.6 ni very mwoga..tofauti na watu wanavyodhani.Tunajua wa kumtuma kumtisha apate adabu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.