Leo mh sitta akiwa sambamba na paul makonda na hamis kigwangala wameandamana kuchukua fomu hiyo;ila mizingwe na mkakati wa kumkwamisha sitta ume anza kubainika unao fanywa kwa siri sana na mahasimu wake
haha..nenda 6 ,tukatumie office yako kuchukua wanaCCM kibao ili wapigia kura upande wa haki.6 ni very mwoga..tofauti na watu wanavyodhani.Tunajua wa kumtuma kumtisha apate adabu