PowerWithin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2014
- 646
- 501
Wadau wa katiba mpya!
Hapana hata chembe ya ubishi kuwa Mh Sitta hatamudu kuongoza bunge la katiba!
1.Ni mbabe sana
2.Amelewa sifa zizizo na maana
3.Ana busara ndogo sana pale mjumbe anapokinzana nae
4.Ni rahisi sana kumezwa na itikadi anazoziamini
5.Si mtu anaekubali kutokukubaliana
6.Ana jazba sana
7.et al
Tuache maneno mengi........tusubiri tuone; if at all he will prove me wrong.......beyond doubt he wont be able!!!!!!!
cc: Chabruma, Skype et al
Hapana hata chembe ya ubishi kuwa Mh Sitta hatamudu kuongoza bunge la katiba!
1.Ni mbabe sana
2.Amelewa sifa zizizo na maana
3.Ana busara ndogo sana pale mjumbe anapokinzana nae
4.Ni rahisi sana kumezwa na itikadi anazoziamini
5.Si mtu anaekubali kutokukubaliana
6.Ana jazba sana
7.et al
Tuache maneno mengi........tusubiri tuone; if at all he will prove me wrong.......beyond doubt he wont be able!!!!!!!
cc: Chabruma, Skype et al
Last edited by a moderator: