msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,786
- 5,963
Mbunge wa MBEYA MJINI,MH.JOSEPH MBILINYI,jana amebarikiwa kupata mtoto wa kike alompa jina la SASHA-DESDERIA,na mama wa mtoto huyo anaitwa FAIZA..
View attachment 66551
View attachment 66551
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona huyu mtoto anaonekana mkubwa kama wa wiki 2/3,Anyway hongera sana kwa kutuongezea kamandaMbunge wa MBEYA MJINI,MH.JOSEPH MBILINYI,jana amebarikiwa kupata mtoto wa kike alompa jina la SASHA-DESDERIA,na mama wa mtoto huyo anaitwa FAIZA.. View attachment 66551
Mbunge wa MBEYA MJINI,MH.JOSEPH MBILINYI,jana amebarikiwa kupata mtoto wa kike alompa jina la SASHA-DESDERIA,na mama wa mtoto huyo anaitwa FAIZA..
View attachment 66551
FAIZAFOX yule wa jf?
Sugu kazaa na faiza foxy? Wonder shall never end!
Mbunge wa MBEYA MJINI,MH.JOSEPH MBILINYI,jana amebarikiwa kupata mtoto wa kike alompa jina la SASHA-DESDERIA,na mama wa mtoto huyo anaitwa FAIZA..
View attachment 66551
I thought the mother shouldve been shyrose bhanji? What happened,am i tht much in the jungle napitwa na the happenings?
MUNGU aepushie mbali, kwa jinsi Mama Porojo alivyo mbishi atatuharibia jembe letu kwa mauzi ya kila siku. tehe tehe!Nimeamini Simba jike hata awe mkali vipi, atazaa tu.
Kumbe Faiza alikua haonekani hapa JF sababu ya kulea mimba??
Soon utasikia MAMA POROJO kazaa na J. J. Mnyika!!!
wanawake wengine hawapendi kuzaa.
Hata mie nilidhani atakuwa 'waridi lenye aibu' - shy rose'
Ama kweli wonder never ceaseSugu kazaa na faiza foxy? Wonder shall never end!