Mh Sugu kugombea Urais 2030?

Mh Sugu kugombea Urais 2030?

tramadol

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2015
Posts
5,383
Reaction score
4,323
Mh Sugu..Joseph Mbilinyi Katika wimbo wa Galagasha anasema mwaka 2030 anagombea Urais na Kushinda... Anadai ' Am joking.....no no am serious'

Kila la heri kwa ndoto yake hiyo inaweza kutimia!
 
Mh Sugu..Joseph Mbilinyi Katika wimbo wa Galagasha anasema mwaka 2030 anagombea Urais na Kushinda... Anadai ' Am joking.....no no am serious'

Kila la heri kwa ndoto yake hiyo inaweza kutimia!
Bangi za mbeya au sumbawanga ! Chadam shit tumedhachoka na vioja vyenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mh Sugu..Joseph Mbilinyi Katika wimbo wa Galagasha anasema mwaka 2030 anagombea Urais na Kushinda... Anadai ' Am joking.....no no am serious'

Kila la heri kwa ndoto yake hiyo inaweza kutimia!
Form IV kuongoza nchi ya maprofesa?
Pengine amhusishe Gwajima aliamsge dude ndani yake!
 
Mh Sugu..Joseph Mbilinyi Katika wimbo wa Galagasha anasema mwaka 2030 anagombea Urais na Kushinda... Anadai ' Am joking.....no no am serious'

Kila la heri kwa ndoto yake hiyo inaweza kutimia!
Kwa nini wanamchokonoa Lowasa?
 
Sugu aanze kupiga shule ata online distance! Walau awe holder wa Bachelor degree, Mambo ya Kuwa na Certificate ya Lugha na kupewa nchi si rukusa sasa
 
Sugu aanze kupiga shule ata online distance! Walau awe holder wa Bachelor degree, Mambo ya Kuwa na Certificate ya Lugha na kupewa nchi si rukusa sasa
Watu kama Sugu huwa wanachukua nchi hivi hivi na tutabaki tunashangaa!

Kuna watu wana nyota zao bwana.

Kama Jiji zina la Mbeya anauwezo wa kumi control ...Nakumbuka Kuna mkutano wanainchi hawakutaka kiongozi yoyote aongee mpaka Aongee Sugu kwanza!
 
Back
Top Bottom