Mh Sugu kugombea Urais 2030?

Watu kama Sugu huwa wanachukua nchi hivi hivi na tutabaki tunashangaa!

Kuna watu wana nyota zao bwana.

Kama Jiji zina la Mbeya anauwezo wa kumi control ...Nakumbuka Kuna mkutano wanainchi hawakutaka kiongozi yoyote aongee mpaka Aongee Sugu kwanza!
Mbeya ni Mbeya tu mkuu huwezi kucontrol mbeya ukasema ww ni best eti anyway sidhani kama zama za bahati zitakuwepo mana Chairman wa rulling Party hawezi kumuachia Mgombea mwenye elimu ndogo 2025 ,Teuzi zake tu ni maprofessor
 
Sugu ana mipango mirefu sana na ana mikakati ya chinichini. Mungu mkubwa ndoto zake zitatimia nitakuwa pale kumsapoti na kumpa kura yangu mwaka 2030 ukifika

Sent using Jamii Forums mobile app
Struggle ya mtu kutokea mbali...Nakumbuka sana mwaka 1995 wakati Barrack Obama alipokuwa anazindua kitabu kuhusu Baba yake!!! Aliongea mengi sana kuhusu maisha na mambo ya ubaguzi na ndiyo ikawa ufunguo wa Barrack Obama kuingia White House.
 
Hna sifa za kugombea urais.....huu sio ubunge kwmba ajue kusoma na kuandika
 
Magufuli anatosha tutamuongezea miaka mingine kumi
Tunataka Uzalendo uchochezi wa kina Lissu hapana
Kwenye issue ya ndege kutekwa au Accacia Lissu hajistukii kuwatetezea wazungu??
Accacia ni wezi ila alikuwa anawatetea
Wakandarasi wa Cannada walivunjiwa mkataba kwa maslahi ya taifa
Mtanzania unatakiwa ujiskie aibu kama vile mtoto wako au mke wako ambavyo akisemwa vibaya lazima ufiche au ujiskie aibu
Kuna mambo siyo ya kuingiza politics
Namwelewa JPM siipendi CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…