Mkuu nilikuwa najibu swali lililohoji masters ya mwaka mmoja???....swala la vicky kukosa qualification ya kusoma masters ni jambo tofauti..Kwahiyo unataka kusema masters za UK zinataka entry qualification ya Diploma? Halafu diploma yenyewe chuo chake hata kwa sisi watanzania jina geni. (Nyakohoja Computer Centre, Mwanza) Nimejaribu ku google jina la hicho chuo na page nyingi zinazotokea ni zinazohusina na CV ya mbunge huyu wa viti maalum tu. Nadhani qualification ambayo anayo na haina utata ni Certificate. Na hizo haziwezi kutosheleza kombea masters degree.
Mkuu nilikuwa najibu swali lililohoji masters ya mwaka mmoja???....swala la vicky kukosa qualification ya kusoma masters ni jambo tofauti..
Hapo kwenye masters 2008-2008 sijaelewa.
[TABLE="class: cms_table"]
[TR]
[TH="colspan: 4, align: left"]EMPLOYMENT HISTORY
[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH]Company Name [/TH]
[TH]Position [/TH]
[TH]From Date[/TH]
[TH]To Date[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]The Parliament of Tanzania[/TD]
[TD]Member - Special Seat[/TD]
[TD]2010[/TD]
[TD]2015[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer I[/TD]
[TD]2009[/TD]
[TD]2010[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Bank of Tanzania (BOT)[/TD]
[TD]Public Relation Officer III[/TD]
[TD]2006[/TD]
[TD]2009[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hakuwa na sifa za kupewa post kama hizi labda ndio alitumia na vitu vyake kushawishi kukaa na kutumikia nafasi hizo
Kwa hiyo wewe hutaki watu wa kawaida wawakilishwe Bungeni? Kiherehere usiwe hivyo.
Kwahiyo unataka kusema masters za UK zinataka entry qualification ya Diploma? Halafu diploma yenyewe chuo chake hata kwa sisi watanzania jina geni. (Nyakohoja Computer Centre, Mwanza) Nimejaribu ku google jina la hicho chuo na page nyingi zinazotokea ni zinazohusina na CV ya mbunge huyu wa viti maalum tu.
Nadhani qualification ambayo anayo na haina utata ni Certificate. Na hizo haziwezi kutosheleza kombea masters degree.
nenda kwanza kwenye publication zake obvious ingekuwa 2008 lakini kwa vile haipo kwenye orodha tucukue ile ya 2009. itakuwa ndiyo dissertation yake ya masters inasema Investigation of Differentiation in University's MBA Programme - A Case Study of Southampton Solet University, UK. 2009 swali Msc iko hapo au?