mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
Tume
itakayo mhoji mwalimu eti kwa sbb wanafunz wamefeli itakuwa imekosea
kabisa,
Wakuu wa shule weng nchn ni maadui kwa walimu wao, maana wanamtumikia
bwana
Serikali ni ya mungu binadamu ni watendaji tu, ni kawaida binadamu
kukosea lakini si kukosea kabisa. waziri mkuu usipotoshwe. ukitaka
majibu ya tume hyo waweke walimu wakawaida sio timu yako hyo. pia walimu
wamenyimwa haki nying je unataka majibu yapi kwao?
Sitashauri kuwafwata walimu, ni busara muwalipe pesa zao, mh. Rais atumie mamlaka yake kuwapendekezea mshahara mkubwa, elimu ni roho ya nchi nying duniani. Kabla ya kuwadai wajibu wao wapeni haki yao.
Wanalipa nauli nao kwenda na kurudi shuleni,vituoni mwao, kila siku. Wanalipa kodi zao kila mwezi, kwa mshahara upi?
itakayo mhoji mwalimu eti kwa sbb wanafunz wamefeli itakuwa imekosea
kabisa,
Wakuu wa shule weng nchn ni maadui kwa walimu wao, maana wanamtumikia
bwana
Serikali ni ya mungu binadamu ni watendaji tu, ni kawaida binadamu
kukosea lakini si kukosea kabisa. waziri mkuu usipotoshwe. ukitaka
majibu ya tume hyo waweke walimu wakawaida sio timu yako hyo. pia walimu
wamenyimwa haki nying je unataka majibu yapi kwao?
Sitashauri kuwafwata walimu, ni busara muwalipe pesa zao, mh. Rais atumie mamlaka yake kuwapendekezea mshahara mkubwa, elimu ni roho ya nchi nying duniani. Kabla ya kuwadai wajibu wao wapeni haki yao.
Wanalipa nauli nao kwenda na kurudi shuleni,vituoni mwao, kila siku. Wanalipa kodi zao kila mwezi, kwa mshahara upi?