MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
- Thread starter
-
- #21
Mwanajamii1 yaani umenifanya nitabasamu..
Kuna kaka mmoja alioa Binti aliyekuwa changudoa
Wamekaa binti katulia na wakawa wamejipatia mtoto wa kike.
Mara binti akaanza vitabia vyake vya uchangu tena..
Hiyo ndoa haipo na dada anaendelea na hiyo kazi yake ..wakati kaka analea mwanae .
Ni sawa na wewe hommie.... eti demu akung'anganie akitegemea undugu wako na valuu utaisha.....Kweli hommie inategemea na N'tu na N'tu...
Wengine huwa wanabadilika kabsaa mpaka unashangaa!
Babu wale tuliowaona jana pale si wanaweza kubadilika ukiwachukua ukawaweka ndani lol!!!Ni sawa na wewe hommie.... eti demu akung'anganie akitegemea undugu wako na valuu utaisha.....
Sumu haijaribiwi kwa kuionja.
Inategemeana amekueleza ameachaachaje mambo hayo!
Je anaonesha majuto ya kile alichokuwa anafanya?
Au alibanwa na jamii, familia au institution fulani ndipo akapumzika kutenda hayo?
Kama jibu lake ni hilo la 2, basi aweza kuja kwa kasi mbaya zaidi!
Check out!
Wanaoitengeneza wao wenyewe lazima waijaribu kwanza
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.
Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?
Kumbadili mtu tabia ni kitu kigumu sana aisee
Sana sana atajibadili yeye mwenyewe kwa ridhaa yake
We are only human anything might happenDena aksante but nadhani hujanipata sawasawa mamito..........simaanishi kumbadili tabia! Wewe umemkuta keshabadilika sema ndio kaacha footsteps huko zenye madoa.................
hahahaha hapo chacha!Ni sawa na wewe hommie.... eti demu akung'anganie akitegemea undugu wako na valuu utaisha.....
Babu mbona unaruka kigingi?.........................unawezajikomiti kwa mtu kama huyu kwa kuamini kuwa atorudi nyuma?Hahahahaha!!!!
Uwezekano upo wa yeye kubadilisha mwenendo wake kwa kutegemea influence yako and how you treat him/her at the same time kuna wale wanawake ambao wanajiuza wanajikuta they fall in love with someone na hatimaye wanakuwa housewife i have seen one ambaye alikuwa anajiuza but ghafla akapata mwanaume ambaye alimpenda na hatimaye akakubali kuwa mke, thou pia kuna usemi unasema "Once a good girl has gone bad, she's gone bad forever"
Niliwahi kuuliza swali hilo miaka ileee bila kupatikana jibu muafaka....
Nadhani, jibu la msingi kwa swali hili yafaa kila mmoja wetu ajiulize mwenyewe.
Je,....zile tabia zako mbaya unazipa nafasi ya kuzirudia tena kwenye mahusiano mapya?
Kama jibu ni hapana, then who we you to judge others watazirudia?
Kwahiyo hommie ulanzi unautanguliza mbele kwanza mengineyo baadaehahahaha hapo chacha!
Wapendwa
Nawaamkua!!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.
Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?
Mjukuu sio kujikomiti ila kuna wale ambao wamebadilika ila unakuta wameacha alama za hayo mambo wapo wachahce wanaoweza kuanza maisha mapya.Babu mbona unaruka kigingi?.........................unawezajikomiti kwa mtu kama huyu kwa kuamini kuwa atorudi nyuma?
Aksante Laaziz ...............nadhani ni sahihi kujievaluate na sisi wenyewe............lakini je ukijigundua kuwa wewe uko tayari ku'yaacha' yote utaijenga imani hiyo hiyo kwa mwenzi wako mtarajiwa??
Aksante kwa hiyo link
Wapendwa
Nawaamkua!!
Kwa muda mrefu nimekuwa nikijiuliza hili swali nakosa jibu!
Eti ukimpenda mtu ambaye kwa bahati mbaya tabia zake huko nyuma hazikuwa nzuri (Yaani ana madoa machafu kitabia, mwenendo mzima wa maisha) mfano alikuwa changudoa, mwizi au jambazi et.c. Tabia ambazo zinamtia doa yeyote anayeongozana naye.
Je kuna uwezekano wa kurudia tabia zake za zamani au huwa tunabadilika kabisa?
We are only human anything might happen
Dena aksante but nadhani hujanipata sawasawa mamito..........simaanishi kumbadili tabia! Wewe umemkuta keshabadilika sema ndio kaacha footsteps huko zenye madoa.................
NN aksante nadhani kuna ukweli hapa kuwa yote yanawezekana but will you be willing kuingia mkataba na mtu wa aina hii bila kuwa na uhakika? kama hapana, utasubiri mpaka lini ndipo ujiridhishe na kufanya maamuzi?
Aksante Mkirua ......na huu ni mtazamo wa wengi!! sio kuwa tunawanyima second chances hao ambao wamebadilika??
Mjukuu maswali yote uliyouliza majibu yake ni kwamba inawezekana, hata yule ambaye anaonekana msafi might change his/her ways na hapo ndio wengi huwa hawawezi kukubali kuwa mtu fulani akiamua kubadilika anabadilika so it depends maana hapa tuna-judge tu wale ambao wanaonekana mienendo yao ilikuwa mibaya what about ambao mienendo yao ilikuwa ni misafi all of the sudden nao wamebadilika so i guess everything is possible under the sunOkay kwa hiyo unakubali sumu yawezajaribiwa eh?
Na unaposema anything can happen ina maana hata yule aliyekuwa 'msafi' kwa maana ya kutokuwa na footsteps chafu, ana possibility ya kuwa 'mchafu' huko mbeleni? Si ndio (Tukiweka push and pulling factors?)..........