Mh................!!!


Safi sana mkuu...Ila malizia kwa kusema kuwa ni vigumu kwa mtu kutambua sababu ipi hasa ndo imemfanya mhusika awe hivyo...Ndo maana wale wenzangu na mie walioona mengi wanashauri tuchukue tahadhari tunapotaka kufanya maamuzi ambayo yataathiri maisha yetu yote ya baadaye!
 
Reactions: RR
Kama ameamua yeye binafsi kubadilika na pia kama siyo tabia yake ya asili ,
Basi inawezekana kabisa akaacha tabia mbaya na kuwa mtu mwema, ila ni lazima awe,
anaamini ,anatambua,na kuwa karibu zaidi na MUNGU wetu kwa maneno na vitendo vyake.

BINADAMU MWENYE TABIA MBAYA HAPASWI KUTENGWA BALI KUWA KARIBU NAYE,
KWA KUMWELEWESHA,KUMWONESHA MATENDO MEMA TUTENDAYO,ILI YEYE KWA HIARI
YAKE AWEZE KUCHUKUA UAMUZI WA KUBADILIKA KUWA MTU MWEMA.

LAITI KILA MMOJA WETU,ANGETENGWA KWA MABAYA YAKE NAAMINI 99.9%
YA WANADAMU TUNGEKUWA TUMETENGWA,LAKIN TULIPEWA NAFASI YA
KUWEZA KUJIBADILISHA WENYEWE NA KUWA WATU WEMA,
NDIYO MAANA LEO TUNAONEKANA WEMA MBELE YA JAMII INAYOTUZUNGUKA LEO.
 


hapo naomba nisiongeze neno
 

mtume Paulo alikuwa anajulikana kwa jina la Sauli na alikuwa anaua wafuasi wa dini kwa wingi sana tu, alikutana na nguvu iliyombadilisha maisha yake yote.
 
Zumbe mkuu aksante duh umenikumbusha mbali sana ndugu yangu.

Aksante na ubarikiwe somo nililopata hapa ni kuwa Kama MUNGU akiwa Upende wetu, Ni nani aliey juu yetu?
 
MJ1 dear

People forgive but dont forget, adn believe me, you dont want to be on a receiving end when it comes to bad memories.... inauma sana uchungu when you are married to a person aliyewahi kwa mfano kubakwa, hata kama hakuwa na kosa, kwani tatizo huanzia kwenye kumbukumbu, it is then followed by the mental pictures followed up by full blow frustrations that cnt be solved by anyone

Ni mbaya but not fair

Iwe mimi, wewe au mtu yeyote yule

MTM
 

Dahhhhh!!!!!....kaka taratibu bana.
nikitafakari hapa naona kuna wivu, hasira, uchoyo, dharau, kiburi, nk.... au????
Hivi tutaoza/kuozesha kweli kwa analysis hizi?
 

Dahhhhh!!!!!....kaka taratibu bana.
nikitafakari hapa naona kuna wivu, hasira, uchoyo, dharau, kiburi, nk.... au????
Hivi tutaoza/kuozesha kweli kwa analysis hizi?

Mkuu Mbu...
Katika hali halisi kila binadamu ana tabia fulani mbaya (ofkoz ubaya ni relative)....kumbuka hata kina Carlos 'the jackal', hitler au musolini walipendwa!
 
Reactions: Mbu
Mkuu Mbu...
Katika hali halisi kila binadamu ana tabia fulani mbaya (ofkoz ubaya ni relative)....kumbuka hata kina Carlos 'the jackal', hitler au musolini walipendwa!

swadakta!...kwahiyo ni kuitafutia mbinu tu ya kui accomodate tabia 'mbaya' ya mtu, ili maisha yaendelee.
Hakuna mkamilifu.
 
Kile kidude cha thanks kimeenda wapi?.........kupitia ubaya wetu tumetengeneza watu wengine kuwa kuwa wabaya bila wao kujua au kwa kujua ni ukweli mtupu hakuna asiye na ubaya/tabia mbaya sema tu viwango vimetofautiana kuna wanaofanya gizani wengine mwangani lakini matendo ni yale yale. Thanks Mbu.



swadakta!...kwahiyo ni kuitafutia mbinu tu ya kui accomodate tabia 'mbaya' ya mtu, ili maisha yaendelee.
Hakuna mkamilifu.
 
Reactions: Mbu
MwanajamiiOne! yaani hawa wenye tabia mbaya huwa wanabadilika sana kwa sababu walikuwa huko wamefanya kila kitu, na wakiamua kubadilika huwa hakuna kitakachowarudisha nyuma, sasa ole wako kutana na mtu ambae hajapitia uchakaramu wowote ule halafu abadilike, huwa wanabadilika vibaya kuliko hata huyo changu, malaya, kiwembe n.k
 

swadakta!...kwahiyo ni kuitafutia mbinu tu ya kui accomodate tabia 'mbaya' ya mtu, ili maisha yaendelee.
Hakuna mkamilifu.

U rite mkuu...
Ukitaka kuoa/kuolewa na malaika utakufa mseja.....
 
Reactions: Mbu

swadakta!...kwahiyo ni kuitafutia mbinu tu ya kui accomodate tabia 'mbaya' ya mtu, ili maisha yaendelee.
Hakuna mkamilifu.

Umenena......tunatofautiana wema/ubaya..... ukimchunguza kila mtu ana mambo yake mabaya aliyofanya zamani.....wachache sana kama wapo wenye historia nzuri

 
Reactions: Mbu

mwj1....hapa tumsubirie BaK sasa, lol.....
ahsante mahbouba...
 
ukimfuga chatu habadiliki akawa mjusi chukua tahadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…