ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Akitoa taarifa kujibu uzushi wa jarida mojawapo hapa Tanzania,Mtendaji Mkuu wa TanRoads Mha.Mohammed Besta amesema Awamu ya 6 inatejeleza Jumla ya miradi 77 ya Barabara za Lami na madaraja yenye thamani ya zaidi ya Shilingi 4.6T.
Aidha bwana Besta amesema Kwa mujibu wa takwimu kutoka mtandao wa Statistica Afrika ,Tanzania imeshika nafasi ya 6 Kwa kuwa na mtandao Bora zaidi wa Barabara za Lami ikipanda kutoka nafasi ya 16 mwaka 2022.👇👇
View: https://x.com/BusInsiderSSA/status/1852253431278281209?t=8MkHrRRWcBsL3VWZDX-qRw&s=19
View: https://www.instagram.com/p/DBtxqsVtgAU/?igsh=MTJ5MTJsZDkyOG10Zw==
My Take: Kazi iendelee,hakuna kilichosimama.
View: https://x.com/JamiiForums/status/1851560967320064503?t=Bm99UEthwTtw1G_tM9AjGA&s=19
Aidha bwana Besta amesema Kwa mujibu wa takwimu kutoka mtandao wa Statistica Afrika ,Tanzania imeshika nafasi ya 6 Kwa kuwa na mtandao Bora zaidi wa Barabara za Lami ikipanda kutoka nafasi ya 16 mwaka 2022.👇👇
View: https://x.com/BusInsiderSSA/status/1852253431278281209?t=8MkHrRRWcBsL3VWZDX-qRw&s=19
View: https://www.instagram.com/p/DBtxqsVtgAU/?igsh=MTJ5MTJsZDkyOG10Zw==
My Take: Kazi iendelee,hakuna kilichosimama.
View: https://x.com/JamiiForums/status/1851560967320064503?t=Bm99UEthwTtw1G_tM9AjGA&s=19