Dadi Igogo,
wewe bado ni kijana. msomi na mtu thabiti...
mara nyingi ukiwa mtu jasiri na asiyeogopa, mwenye kujiamini, suala la mkate halitakusumbua..
hapa kuna mawili,KUhamia moja kwa moja uwanja wa mapambano usaidie kupeleka mbele jahazi la cdm na taifa kwa ujumla....
wakati huo huo kazi ni nyingi sana, PRIVATE SECTOR hata za kujiajiri pia sio lazima kufundisha....
utashangaa kwanini ulipoteza muda wako huko kwenye chuo cha wasabato...utajagundua kuwa Mungu huwa ana mpango na watu wake..ila there is function of tyme....to wait becomes inevitable
tuko wengi...tunasubiri pia barua zetu tuhamie kikosini full tyme!!!
USIOGOPE!