Hicho chuo anachofundisha nacho mhhh.. [HASHTAG]#chuo[/HASHTAG] kinahakisi werevu wa mtu pia#Kaimu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (SEKOMU), Mchungaji Dk Msafiri Mbilu amelazwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Tanga ya Bombo akiwa mahututi baada ya kula keki inayohofiwa kuwa ilikuwa na dawa za kulevya.
Dk Mbilu amepatwa na mkasa huo wakati akiwa kwenye basi akitokea Jijini Dar es salaam kuelekea Tanga.
Habari zilizopatikana na kuthibitishwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Benedict Wakulyamba ni kuwa mchungaji huyo amebainika kupoteza fahamu baada ya basi hilo kuwasili jijini Tanga na kushindwa kushuka.
Nitawaletea updates
ZIRO pata nafasi utembelee SEKOMU Sebastian Kolowa Memorial University, chuo kilichojikita katika kutoa wabobezi katika elimu maalumu! Special needs Education!Hicho chuo anachofundisha nacho mhhh.. [HASHTAG]#chuo[/HASHTAG] kinahakisi werevu wa mtu pia#
Nashukuru kwa maelezo mazuri.Kina rank gani katika vyuo bora kitaifa?.. Maana chuo sio kozi inayotoa bali ni output inaangaliwa..ZIRO pata nafasi utembelee SEKOMU Sebastian Kolowa Memorial University, chuo kilichojikita katika kutoa wabobezi katika elimu maalumu! Special needs Education!
Pale wanatoa shahada ya kwanza kwa Walimu wa elimu maalumu lakini pia Masters katika eneo hilohilo, wanatoa shahada ya kwanza kwa wataalam wa afya ya akili, mental health.
Kimsingi ni chuo kikuu kilichojikita katika eneo au maeneo yasiyo pewa kipaumbele sana lakini yakiwa na umuhimu mkubwa mno katika jamii yetu.
Nilibahatika kusoma hapo, nikijikita katika kusaidia wenye ulemavu wa kusikia, Hearing impairment. Nilipata kitu maalumu mno kupitia SEKOMU.
pita siku moja Lushoto, Magamba, SEKOMU, hutajutia naamini. Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kapanda basi gani? Maana mabasi kwenda Tanga naona yana canera za CCTV ndani. Makamu mkuu wa chuo kweli anaweza kupanda mikweche ya Rahaleo????Huyu naye mbona kaibiwa kizamani sana !
Kwa nini hakupanda gari binafsi?Huyo kapanda basi gani? Maana mabasi kwenda Tanga naona yana canera za CCTV ndani. Makamu mkuu wa chuo kweli anaweza kupanda mikweche ya Rahaleo????
Nipe nikupe. Ingawa siwezi kukubali hata kwa makinikiaHata kama watz ni wakarimu sili kitu cha mtu kwenye basi wala simkaribishi mtu kitu changu, kila mtu ale vyake
Huyu naye mbona kaibiwa kizamani sana !
Labda umri haumruhusu kuendesha umbali mrefu na usawa mfukoni umeyumba.
Hayo madawa ya kulevya yanatoka waapi,si kuna kiumbe kilitumbia vita vyake havitamuacha mtu swalaama
Ilashamkuta mhadhiri wa IFM kama miaka 3 iliyopita alikombwa kila kitu.yeye anadai ilikua anapata moja moto moja baridi. Walimkomba hadi benki.
Dah Pole kwake