Abdideol
Member
- Jul 21, 2022
- 13
- 6
Kigezo kipi kimetumika kutoa Taarifa ifuatayo.??
"AMUUA MKE WAKE NA KISHA YEYE MWENYEWE KUJIUA."
Kupitia kauli hiyo tunaweza kuwa tunamlinda muhalifu bila hata kufahamu.
Ukifanya Tathimini pengine unaweza tambua aliyemuuwa Mke sio Mume na pengine Mume kajiuwa ili kuepusha shari huenda alishuhudia Mauaji ya Mkewe...
"AMUUA MKE WAKE NA KISHA YEYE MWENYEWE KUJIUA."
Kupitia kauli hiyo tunaweza kuwa tunamlinda muhalifu bila hata kufahamu.
Ukifanya Tathimini pengine unaweza tambua aliyemuuwa Mke sio Mume na pengine Mume kajiuwa ili kuepusha shari huenda alishuhudia Mauaji ya Mkewe...