chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 8,680
- 18,035
Kila mwizi na vituko vyake,kuna wapenda udokozi kama mbonga, kuna wengine wana kila wizi na vituko vyake. Hapa nazungumzia mhalifu aliye tawala kwenye Moja ya uhalifu wa kushangaza wa historia ya Merika ilikuwa moja yenye kesi zilizonyingi polisi ya kukata nywele za watu kwa ujanja ambayo mda mwingi ulikuwa usiku watu wakiwa wame lala na ilifanyika mnamo 1942 Mississippi.
Mhalifu huyo kwa jina Pascagoula ila kwa jina alipewa "kinyozi wa Phantom" au kingereza “phantom barber” kwa tabia yake mbaya ya kukata nywele kwa wasichana wadogo wakati wamelala.
Tabia hii ilikela sana kufanyia wasichana na mpaka leo hakuna aliyeweza kuthibitisha huyu mtu mpaka leo ni nani japo kila ushaidi kushindikana.
Mhalifu huyo kwa jina Pascagoula ila kwa jina alipewa "kinyozi wa Phantom" au kingereza “phantom barber” kwa tabia yake mbaya ya kukata nywele kwa wasichana wadogo wakati wamelala.
Tabia hii ilikela sana kufanyia wasichana na mpaka leo hakuna aliyeweza kuthibitisha huyu mtu mpaka leo ni nani japo kila ushaidi kushindikana.