Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Balozi wa mazingira na muhamasishaji, Ndugu Michael Msechu, amekutana na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, ambapo wamejadili mpango wa kufanya ziara ya kuhamasisha vijana na wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesisitiza kuwa kushiriki katika mchakato huu ni hatua muhimu kwa maendeleo ya taifa. Pia, ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za Rais kwa kuwa mabalozi wa maendeleo katika jamii.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Amesisitiza kuwa kushiriki katika mchakato huu ni hatua muhimu kwa maendeleo ya taifa. Pia, ametoa wito kwa wananchi kuendelea kuunga mkono juhudi za Rais kwa kuwa mabalozi wa maendeleo katika jamii.