PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 969
- 1,055
Matunda ya Tanzania Royal Tour, Mkurugenzi wa shirika la ndege la Tanzania (Air Tanzania), Mhandisi. Ladislaus Matindi amechaguliwa kuwa mjumbe wa bodi Shirika la masuala ya usafiri wa Anga na Teknolojia (SITA Aero) namba moja Duniani.
SITA Aero inakadiriwa kuwa jumla ya wanachama 550 Dunia kote huku mapato yake kwa Mwaka yakiwa ni takribani dola za kimarekani bilioni 1.1 Nafasi hii atahudumia kwa kipindi cha miaka 6.
Shirika la ndege la Tanzania kwasasa limejitanua kwa kuongeza safari zake Ufaransa, Marekani, India, Misri pamoja na China na nchi mbalimbali Afrika.
Usafiri wa Anga Tanzania unachangia kuikuza Tanzania katika Utalii na Usafirishaji.
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ni
Omar Jefri – Mwenyekiti kutoka Shirika la ndege la Saudi Arabia
Srinivasan - Kutoka Qatar Airways (Makamu Mwenyekiti).
Hi yen Boo- Malaysia Airways
Mel Crocker - Shirika la Ndege Canada
Michael Doersam- Emirates
Dominique Fuhelham- Shirika la ndege la Swis.
Frank Meyer
Russell Hubbard
www.sita.aero
SITA Aero inakadiriwa kuwa jumla ya wanachama 550 Dunia kote huku mapato yake kwa Mwaka yakiwa ni takribani dola za kimarekani bilioni 1.1 Nafasi hii atahudumia kwa kipindi cha miaka 6.
Shirika la ndege la Tanzania kwasasa limejitanua kwa kuongeza safari zake Ufaransa, Marekani, India, Misri pamoja na China na nchi mbalimbali Afrika.
Usafiri wa Anga Tanzania unachangia kuikuza Tanzania katika Utalii na Usafirishaji.
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi ni
Omar Jefri – Mwenyekiti kutoka Shirika la ndege la Saudi Arabia
Srinivasan - Kutoka Qatar Airways (Makamu Mwenyekiti).
Hi yen Boo- Malaysia Airways
Mel Crocker - Shirika la Ndege Canada
Michael Doersam- Emirates
Dominique Fuhelham- Shirika la ndege la Swis.
Frank Meyer
Russell Hubbard
SITA Board
SITA’s Board Directors are appointed by the General Assembly of the Members of SITA SC for a renewable term of up to three years. The SITA Board supervises the activities of the SITA Group so as to ensure its effective operations. The SITA Board has four standing Committees: the Nomination...