Unaweza ukatoka nyumbani kwako umevaa chupi ya mke wako Kama BARAKOA, nao ni UJASIRIKati ya maamuzi ya kijasiri ya JPM ilikuwa ni hili...
1980 mto rufiji haukuwepo, au?Mantiki ni ipi sasa?
yaani leo tupo mwaka 2021 halafu tunajenga bwawa la umeme kutumia upembuzi yanikifu wa mwaka 1980, yaani miaka 40 iliyopita, halafu tunajipongeza!
Comment yako na umri wako haviendaniUnaweza ukatoka nyumbani kwako umevaa chupi ya mke wako Kama BARAKOA, nao ni UJASIRI
UJASIRI wa kutofuata ushauri wa kitaslamu ni UWENDAWAZIMU
Ujasiri wa kijuha.Kati ya maamuzi ya kijasiri ya JPM ilikuwa ni hili...
Unakubari hii kazi kinyooonge! Tehee.Bora fedha zitiwe kwenye hilo Bwawa kuliko kwenye Matumbo ya Makada na Familia zao
Harafu anakuja kenge mmoja kutuambia umeme haufai wa kizamani, mara upembuzi wa kizamani, kama nia kutu rejesha kwenye capacity charge itabidi mtunyonge.Mhandisi mkazi wa mradi wa JNHPP Rufiji maarufu Stiegler's Gorge amesema wanatumia upembuzi yakinifu wa mwaka 1980 na siyo upembuzi wa 1970. Pia design ya 2017 imefanya mabadiliko ya Upembuzi Yakinifu wa 1980. Kitu pekee ambacho hakijabadilishwa kabisa ni upembuzi yakinifu (geology) ya miamba.
Siyo kweli kuwa tulitaka Rais alise dhaifu. Labda wewe na mumeo ndiyo mlitaka JPMKuna wakati tulitaka Rais asiye dhaifu, tukapata JPM...
Sasa hivi watu wanaona hakuwa akifaa wanataka Rais mbembelezaji
Upembuzi yakinifu (feasibility study) una maeneo mengi kuna yasiyo badilika ila kuboreshwa tu.. sio nyanya hizo kwamba zimeoza...Mantiki ni ipi sasa?
yaani leo tupo mwaka 2021 halafu tunajenga bwawa la umeme kutumia upembuzi yanikifu wa mwaka 1980, yaani miaka 40 iliyopita, halafu tunajipongeza!
CAG aliongopa sio 1970 Bali ni 1980
Parameters za Feasibility zinabadilika kidogo sana kutokana na costing na mapokeo ya watu.CAG aliongopa sio 1970 Bali ni 1980
nimekumbuka enzi zetu za pekos!