Mhandisi Zena Said afungua Kigoda cha Wasichana Zanzibar

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797

Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhandisi Zena Ahmed Said amefungua Kigoda cha Wasichana katika Ukumbi wa Dimani Zanzibar tarehe 11 Oktoba, 2024.


Jukwaa hili la Wasichana lilizungumzia changamoto mbalimbali zinazowakabili na jinsi ya kuzitatua ili kuweza kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza ndani ya Zanzibar, Tanzania na hata duniani.


 

Attachments

  • mini_magick20241014-8648-900asr.jpg
    120.5 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…