Elections 2010 Mhango: Kikwete angejibu nini kuhusu mama salma kikwete?

Elections 2010 Mhango: Kikwete angejibu nini kuhusu mama salma kikwete?

minda

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2009
Posts
1,068
Reaction score
67
Nkwazi Mhango anauliza hivi:


"Hivi Kikwete angejibu nini kama angeulizwa [kuhusu] chanzo cha fedha zinazomwezesha mke wake kumpigia kampeni...?"


Source: MwanaHalisi, Septemba 15-21, 2010.


my take:

jifanye salva rweyemamu au hizza tambwe kisha ujibu swali hilo la bw. mhango.
 
Kama ambavyo alijibu kuwa hajui kwa nini Tanzania ni Maskini, ndivyo atakavyojibu swali lako kwa kusema "hata mimi nashangaa sijui kazitoa wapi hizo hela na ndege"
 
Hivi bado hamjastuka kuwa huo ni mpango kamambe wa familia hiyo fisadi kujitwalia fedha za nchi?
Hapo inatengenezwa himaya ya untouchables, ni awamu ya mwisho hii jamani tukumbuke!
Bila hivyo yale majumba yanayoonekana pale kijijini kwake yataishaje?
Kila mtu kapewa hesabu ya kuwasilisha jioni!...huh!
 
Hivi bado hamjastuka kuwa huo ni mpango kamambe wa familia hiyo fisadi kujitwalia fedha za nchi?
Hapo inatengenezwa himaya ya untouchables, ni awamu ya mwisho hii jamani tukumbuke!
Bila hivyo yale majumba yanayoonekana pale kijijini kwake yataishaje?
Kila mtu kapewa hesabu ya kuwasilisha jioni!...huh!

Mkuu,

Hiyo ni mbaya sana endapo machafuko yakitokea au uongozi mwingine ukiingia kama ule wa hayati Levi Mwanawasa (Zambia LT President) kile kiji pale chalinze kwa mzee na ule msikiti opposite kwenda kwa lile jumba la kifahali litapotea kwa muda mchache sana. Unajua hakua kitu mbaya kama uongozi wa kifamilia, sasa sielewi kama President famili huwa wana mshauri wa kuwaelezea kumbuka JFK huko USA. ingawa wengine walibaki kwa siasa ila msukosuko walioupita mmmh.

kwa ushauri wangu wa bure familia isijingize kwenye siasa kiasi hicho inaleta picha mbaya sana kwa nchi maskini kama TZ wanachi watafikilia vipi hiyo familia??


 


Mkuu,

Hiyo ni mbaya sana endapo machafuko yakitokea au uongozi mwingine ukiingia kama ule wa hayati Levi Mwanawasa (Zambia LT President) kile kiji pale chalinze kwa mzee na ule msikiti opposite kwenda kwa lile jumba la kifahali litapotea kwa muda mchache sana. Unajua hakua kitu mbaya kama uongozi wa kifamilia, sasa sielewi kama President famili huwa wana mshauri wa kuwaelezea kumbuka JFK huko USA. ingawa wengine walibaki kwa siasa ila msukosuko walioupita mmmh.

kwa ushauri wangu wa bure familia isijingize kwenye siasa kiasi hicho inaleta picha mbaya sana kwa nchi maskini kama TZ wanachi watafikilia vipi hiyo familia??



Tumeona hata USA Bill Clinton alimnadi mke wake wakati ule yuko katika harakati za kuusaka urais wa marekani. Ni kama nayo imekaa kifamilia vile!!!!!!!!!

Nimeona mke wa Barack Obama, akizungukuka USA kufanya shughuli za hapa na pale. Ni kama nayo imekaa kifamilia vile!!!!!!!!!!!
 
Mimi sioni makosa kwa mke wa rais kumpigia kampeni mume wake kama anazo hoja za msingi za kuwashawishi wananchi kwamba mume wake anafaa kutuongoza. Hoja ya msingi si uwepo wa mke wa rais katika kampeni bali ni hoja ambazo mke wa rais anajenga kuwashawishi wapiga kura.
 
Mimi sioni makosa kwa mke wa rais kumpigia kampeni mume wake kama anazo hoja za msingi za kuwashawishi wananchi kwamba mume wake anafaa kutuongoza. Hoja ya msingi si uwepo wa mke wa rais katika kampeni bali ni hoja ambazo mke wa rais anajenga kuwashawishi wapiga kura.

ishu sio hoja kinachowaumiza watanzania ni gharama zinazotumika kufanya kampeni ikiwahusisha wanafamilia wa JK, lakini pia watu wanahoji nafasi ya huyo mama kikatiba ni ipi hadi apokewe na viongozo wa serikali ambao kila kukicha wanalalamika tabia ya huyo mama kuomba hadi taarifa ya mkoa, yeye ni nani? usiache hoja ya msingi we kazi moto .
 
Nimeona mke wa Barack Obama, akizungukuka USA kufanya shughuli za hapa na pale. Ni kama nayo imekaa kifamilia vile!!!!!!!!!!!

Anafanya hizo kazi kama FIRST LADY!!!
Mbona first lady wako anayo WAMA pia, hushangai hiyo nayo!
 
Mimi sioni makosa kwa mke wa rais kumpigia kampeni mume wake kama anazo hoja za msingi za kuwashawishi wananchi kwamba mume wake anafaa kutuongoza. Hoja ya msingi si uwepo wa mke wa rais katika kampeni bali ni hoja ambazo mke wa rais anajenga kuwashawishi wapiga kura.
Mkuu umepatia sawia HAYO NDO MAJIBU YA salva bila kukopa sehemu.

Wewe huoni tatizo kwa sababu kupelekeshwa kwako ni utamaduni lakini utawala wa sheria kwako ni tatizo. Kama kweli anaruhusiwa, weka clear kwamba aliombwa na cc ya ccm na tukienda kule Tume ya uchaguzi tutakuta ratiba yake ya kampeni kwa nafasi ya kumnadi mgombea urais na wabunge.
I DARE TO SAY
 
Hii tabia ya kulinganisha US na Tz itakuja kutuletea madhara mbele ya safari. Kuna mambo ukiyalinganisha hayawezi kutoa majibu yanayofanana. Hili la ma first lady ni sawa na kulinganisha haki za Wamarekani kwa balozi zao nje ya nchi yao na haki za Watanzania na balozi zao nje ya Tanzania
 
Tumeona hata USA Bill Clinton alimnadi mke wake wakati ule yuko katika harakati za kuusaka urais wa marekani. Ni kama nayo imekaa kifamilia vile!!!!!!!!!

Nimeona mke wa Barack Obama, akizungukuka USA kufanya shughuli za hapa na pale. Ni kama nayo imekaa kifamilia vile!!!!!!!!!!!
Lakini pesa iliyotumika huko US 2008 na BIll Clinton na MIchelle Obama ilikuwa ni ya kampeni zao na zilikuwa accounted for siyo kama hapa mke anatumia pesa za walipa kodi kutoka hazina eti kwa vile ni festi ledi
Alafu kikatiba hatuna institution ya FL ... wakati Marekani inatambua institution ya FL... sijui nimekusaidia ktk kutoa ufafanuzi?
 
Hivi bado hamjastuka kuwa huo ni mpango kamambe wa familia hiyo fisadi kujitwalia fedha za nchi?
Hapo inatengenezwa himaya ya untouchables, ni awamu ya mwisho hii jamani tukumbuke!
Bila hivyo yale majumba yanayoonekana pale kijijini kwake yataishaje?
Kila mtu kapewa hesabu ya kuwasilisha jioni!...huh!

Kama hiyo ni startegy ya familia basi ni mufilisi. Enron ilikubali kupigwa mweleka na ubabaishaji. Hawa watu wataweza kweli kwa haya mambo yao ninayoyaona? Thubutu
 
Angejibu kua Urais ni jambo la kifamilia na si la kitaifa
 
Nkwazi Mhango anauliza hivi:


"Hivi Kikwete angejibu nini kama angeulizwa [kuhusu] chanzo cha fedha zinazomwezesha mke wake kumpigia kampeni...?"


Source: MwanaHalisi, Septemba 15-21, 2010.


my take:

jifanye salva rweyemamu au hizza tambwe kisha ujibu swali hilo la bw. mhango.

Jibu ni kwamba "WAMA na CCM wana - fungate" jibu kutoka kwa Mama Salma akimsaidia mumewe kijibu hilo swali (Majira, 21/09/2010)
 
Back
Top Bottom