Mhasibu anamiliki billion 150 benki-Dira ya Mtanzania

Suluhisho la ufisadi bongo ni firring squad tu!!haya mambo ya tume mara mahakama cjui takukuru ni kupotezeana muda tu.Watu wanaamua kuiba kwani wanajua watakapobainika wataachishwa kazi tu!!
 

Atakua ndiyo huyohuyo tu
Sometimes unabadili jina kwenye baadhi ya documents huku nyingine zikibaki pending kusubiri taratibu Fulani fulani.

Huyo ni wa kukamata immediately.
 


Sishangai kwa hilo. Mwenzake Mkulo aliamua kuhamishia mamihela yake kwenye akaunti za watoto zake na wakwe zake. Tanzania eeeeeehhh, nchi yetu eeeeeee
 
Kuna mtu anajuwa uhusiano wowote (kiutendaji) kati ya huyu muhasibu na aliyekuwa waziri wa fedha - Mkullo?
Deni la taifa ni 22 trillion, kuna baadhi ya wizara mwaka jana zilipata 30% tu ya bajeti iliyopitishwa na bunge! hela zimeenda wapi?
 
Inawezekana anabiashara zake jamani, kama hana chochote kinachoweza kuthamanishwa na hiyo B150 aulizwe mapema.
 
Kuna mtu anajuwa uhusiano wowote (kiutendaji) kati ya huyu muhasibu na aliyekuwa waziri wa fedha - Mkullo?
Deni la taifa ni 22 trillion, kuna baadhi ya wizara mwaka jana zilipata 30% tu ya bajeti iliyopitishwa na bunge! hela zimeenda wapi?

Haiitaji Phd kujua hilo mkuu,we chunguza tu utabaini.
 
Sishangai kwa hilo. Mwenzake Mkulo aliamua kuhamishia mamihela yake kwenye akaunti za watoto zake na wakwe zake. Tanzania eeeeeehhh, nchi yetu eeeeeee

Hata wakihamisha hela kwa wakwe tukiingia watu waadilifu tutafukua hadi account za marehemu zilizopo nje ya nchi. The clock is ticking na mabadiliko ya hali ya nchi ya Tanzania.
 
Habari sio ya kweli, hamna benki itakuruhusu wewe kabwela tu uweke mahela yote hayo
 
Kama habari sio ya kweli na umeiona iweke hapa na sisi tusome tuone uongo wa habari hiyo. Na unapo sema hakuna bank itamruhusu kabwela kuweka M150 unamaanisha nini? Hakuna makabwela pale bank ya makabwela wenye M150 kwenye akaunti zao?
 
Naomba namba ya simu ya huyo Mhasibu anipe japo robo bilioni tu ninunue madawa madawa ya Zahanati ya Kijijini kwangu, Mhhh atanipa kweli huyo!
 
Kama habari sio ya kweli na umeiona iweke hapa na sisi tusome tuone uongo wa habari hiyo. Na unapo sema hakuna bank itamruhusu kabwela kuweka M150 unamaanisha nini? Hakuna makabwela pale bank ya makabwela wenye M150 kwenye akaunti zao?

Mohamedi Mtoi,

Hizo ni Billioni ndugu sio Millioni, hata ingekuwa milioni 150 bado benki ingeomba vielelezo and i am sure huyo mhasibu kama ni mwizi asingeweza kuvitoa. Hizo pesa kama zingeingia kwa TISS zingekwama huko huko BOT na uchunguzi ungefanywa mara moja.
 

Benki ikuzuie wewe usieje mabilioni kisa ni mhasibu? Ungenambia fundi garage kweli! Kwani mhasibu ndo hawezi kuzimiliki hizo bilioni? Mnakua hizo pesa zipo benki tangu lini? Kwani nyie mnaona tena mtu akiwa mhasibu basi hawezi kiwa na biashara zake? Acheni uswahili! Bank haiwezi kabisa kutaka vielelezo vya wapi umepata hela zote izo iyo kitu ni PRIVACY! Kazi ya bank ni kukutunzia izo hela tu! Wewe unafikiri bank itaacha mteja mwenye manilioni hayo kwa kuhoji wapi anapata pesa!!!
 
Duh! Mkuu stoudemire! Akili za harakaharaka hazikunituma kuwa ni Bil! Huyo mama atakuwa anamichongo ya kifisadi tu si bure.
 

Huyu mama kinega pale Wzr ya Fedha, alitokea TRA, kaziba myanya ya wezi kibao na kwapeleka kibao takukuru, lazima wamchafue
 
Atakua ndiyo huyohuyo tu
Sometimes unabadili jina kwenye baadhi ya documents huku nyingine zikibaki pending kusubiri taratibu Fulani fulani.

Huyo ni wa kukamata immediately.

Anakamatwa kwa kosa gani? kwani imeshathibitika kwamba ameiibia seriali?
 
Mbona kila mara tunasikia tetesi za watu kumiliki mabilioni lakini huwa hazipati uhakika ama kuona wahusika wakichukuliwa hatua? Ilishatolewa hapa JF na kwenye vyombo vya habari majina ya watumishi wa umma kumiliki akaunti nje za mabilioni na matrilioni ya shilingi lakini mpaka sasa watu hao bado wako kwenye nafasi zao na hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa juu yao mbali na kuishia kunyenyekewa na kuonekana kama miungu watu mbele ya macho ya baadhi ya viongozi na wananchi kwa ujumla. Ifike mahali mambo kama haya yachukuliwe kwa uzito wake vinginevyo siku si nyingi Tanzania itageuka kuwa nchi ya ajabu sana kwa Afrika na duniani kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…