Mhasibu anamiliki billion 150 benki-Dira ya Mtanzania

Sasa mtu ukisikia gap kati wenye nacho na wasio nacho ndo hii sasa kudadadeki.Bila gari la mizigo hubebi hizo hela
 
Mhasibu anamiliki 150B alafu anakataa kusema ujenzi wa jengo la serikali garamazake zikoje... inamaana hela za ujenzi zimeingia ktk account yake binafsi ama imekaaje???? "Au ni upepo tu utapita....
 

Nicolina Mtatifikolo, wa kwanza kushoto kwenye hii picha.
 
Mie tangu nizaliwe sijazionapo pesa kama hizo,mbona watu wengine wanakufuru ya pesa ivi wanazipataje?
 
Watu bwana, kwa vile kazuia ulaji wao basi wanatafuta mahali pa kumchafua mtu. Hayawasubiri ili wapate majibu ya hicho walichokibeep
 
Huyo atakuwa mhasibu feki ambaye hajui kabisa matumizi ya fedha, nina wasi wasi kwanza kama atakuwa na hata hiyo elimu ya fedha, unaachaje hela zote hizo kwenye account?
Kweli ukiwa fisadi lazima utalaaniwa tu...!
 
Huyo mwana mama hiyo mijihela alikuwa kila mradi wa ujenzi lazima apewe chake mapema na waliopata tenda ya ujenzi:A S 20: sasa ni miradi mingapi ya ujenzi hapa Tz.Tafakari chukua hatua ..... Haki elimu
 
Nasikia anaporomosha kagorofa maeneo ya Iringa mjini apo! WanaJF wa uko mtakuwa mnakajua tuu! Naona anaiga kasumba ya hawa mamanager wa TRA ni mwendo wa kushusha hotel za magorofa zimejazana pale moro kama uyoga!
 

Chilubi,

Naona tunajadili mambo mawili tifauti hapa, sijakataa kama mhasibu hawezi kumiliki hizo pesa ila ni kwamba kama ni pesa za kifisadi lazima benki ingefuatilia ndio kazi ya watu wa compliance kwenye mabenki kufanya KYC kuwafahamu wateja wao. Na iwapo benki watashindwa kuripoti kuna penalty kubwa sana kwenye sheria za money laundering kwa hiyo taasisi ya fedha na kwa mtu mmoja mmoja ambao walizembea. Hata kama ni biashara kubwa inayofahamika kama Bakhresa hawawezi kutuma bilioni 150 kutoka benki moja kwenda nyingine bila kuweka viambatanisho vya kuonesha hizo pesa ni kitu gani.

Nijibu swali lako kuhusu "PRIVACY" kwenye benki hamna privacy, kama unataka privacy weka pesa zako nyumbani. Benki ina uwezo wa kutoa information zako kwa BOT, PCCB, Polisi, Mahakama, Credit reference bureau etc. Next time ukienda benki kufungua akaunti usiwe mwepesi wa kusaini tu na kuondoka usome kwa umakini maandishi madogo madogo na ile TBA form is there for a reason.
 

Asante sana Mkuu kwa hili. Ongezea pia fedha za hongo na cha juu anachoweka kwa ujenzi wa hazina ndogo huko mikoani. Kwa mfano ile ya dodoma ujenzi wake bado kabisa but mabilioni ya pesa kashakula huku akiwaambia wakandarasi wa claim extra payment za kazi extra bush kabisa na anazipitisha. Ana roho mbaya sana. Sasa mwisho wake unatimia!!!
 
watu kama hawa ni wakupiga risasi kabisa, with no exception, yaaaani aghhhhhr :angry:
 
Da! Bila shaka huyo jamaa yawezekana ni mchakachuzi,bil zote hizo. Mtaje basi tumjue.
 
Hii habari inaonyesha kuna watu wanachuki na huyu mama: bilioni mhasibu aiache bank akili zake siyo nzuri? Huu ni uzushi mkubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…