BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Taasisi ya Kuzuia na Kupambambana na Rushwa (TAKUKURU) imemfungulia kesi Leonard Wilson Chishomi katika Mahakama ya Wilaya ya Tabora mkoani humo kwa makosa ya kutumia nyaraka kwa lengo la kumdanganya mwajiri kinyume na Sheria.
Makosa mengine ni Ubadhirifu na Ufujaji wa Mali ya Umma kinyume na Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa pamoja na Kugushi Nyaraka na kujipatia kiasi cha Tsh. Milioni 6.43.
Mhasibu huyo alisomewa mashtaka mbele ya Hakimu wa Wilaya, D.S .Nyakunga ambapo alikosa dhamana na kupelekwa Gerezani. Kesi imeahirishwa hadi Aprili 20, 2023 itakaporejea kwaajili ya kutajwa.
TAKUKURU TABORA
Makosa mengine ni Ubadhirifu na Ufujaji wa Mali ya Umma kinyume na Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa pamoja na Kugushi Nyaraka na kujipatia kiasi cha Tsh. Milioni 6.43.
Mhasibu huyo alisomewa mashtaka mbele ya Hakimu wa Wilaya, D.S .Nyakunga ambapo alikosa dhamana na kupelekwa Gerezani. Kesi imeahirishwa hadi Aprili 20, 2023 itakaporejea kwaajili ya kutajwa.
TAKUKURU TABORA