Mhe Mbowe akifungwa jela, ni faida kwa CCM au Jamhuri?

Mhe Mbowe akifungwa jela, ni faida kwa CCM au Jamhuri?

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
Amani iwe juu yenyu wanajukwaa!

Mimi nataka kujua, hivi katika hii kesi ya Mbowe mnufaika ni Jamhuri au CCM? Nauliza hivi kwa sababu najaribu kutazama kwa jicho la mbali ni kwamba, Mhe Mbowe hana records mbaya za kuisumbua serikali na wala hajawahi kulazwa jela kwa matukio ya utovu wa kinidhamu zaidi ya siasa tu. Sasa kwenye hii kesi yake mnufaika ni Jamhuri au CCM? Kama ni hivyo, CCM watanufaika na kipi Mbowe akiwa Jela?

Sina mjadala na hasara watakayoipata CHADEMA Mbowe akifungwa jela ingawa wao wanaweza kuchukulia poa, huyu ni Gwiji wa siasa za upinzani nchini, nadhani ukimtafuta mtu wa aina yake CCM labda unaweza kumpata Mzee Mangula, JK, Kinana na Lowasa. Lakini kiwatoa wazee hawa ambao umri wao umeshakimbia,hakuna CCM mwingine wa kumfikia Mbowe.

Hivyo ni lazima tukubaliane kua Mbowe awapo Jela CHADEMA kitatetereka sana na nafikiri hii ndiyo shabaha kuu ya kesi hii. Mbowe ni sponsor, ni leader, Ni motivator, ni educators, ni mentor, ni great thinker,ni decision maker. Hakuna ahueni ndani ya CHADEMA Mbowe awapo Jela.

Naripotia kutoka msitu wa Mbao Uhoro-Rufiji

FUNDI MADIRISHA.
 
IMG-20211030-WA0077.jpg
 
Hebu tuitafakari ile kauli ya kiongozi mmoja (sasa marehemu) "Mbowe ni mchezeshaji tu wa disco"
 
Amani iwe juu yenyu wanajukwaa!

Mimi nataka kujua, hivi katika hii kesi ya Mbowe mnufaika ni Jamhuri au CCM?
Nauliza hivi kwa sababu najaribu kutazama kwa jicho la mbali ni kwamba, Mhe Mbowe hana records mbaya za kuisumbua serikali na wala hajawahi kulazwa jela kwa matukio ya utovu wa kinidhamu zaidi ya siasa tu. Sasa kwenye hii kesi yake mnufaika ni Jamhuri au CCM? Kama ni hivyo, CCM watanufaika na kipi Mbowe akiwa Jela?

Sina mjadala na hasara watakayoipata CHADEMA Mbowe akifungwa jela ingawa wao wanaweza kuchukulia poa, huyu ni Gwiji wa siasa za upinzani nchini, nadhani ukimtafuta mtu wa aina yake CCM labda unaweza kumpata Mzee Mangula,JK,Kinana na Lowasa. Lakini kiwatoa wazee hawa ambao umri wao umeshakimbia,hakuna CCM mwingine wa kumfikia Mbowe.

Hivyo ni lazima tukubaliane kua Mbowe awapo Jela CHADEMA kitatetereka sana na nafikiri hii ndiyo shabaha kuu ya kesi hii. Mbowe ni sponsor, ni leader,Ni motivator, ni educators, ni mentor, ni great thinker,ni decision maker. Hakuna ahueni ndani ya CHADEMA Mbowe awapo Jela.



^^^^^°°°Naripotia kutoka msitu wa Mbao Uhoro-Rufiji^^^^^^°°°°°

FUNDI MADIRISHA.
Uzi ungekua na mashiko kama ungesema haya ni maoni yangu!

Tuanzie hapa sasa;

"Haya sio maoni yangu"

Mahakama ndio chombo cha mwisho huku Duniani kinachoweza kusema UNA HATIA au HUNA HATIA na haisemi tu bali kwa kujiridhisha bila shaka kwamba ulitenda au hukutenda kosa.

Hivyo kijana Kaa kwa kujishikilia. Rais Samia ametuonyesha kwamba yeye Hana upande wowote anaoegemea bali anaziachia mamlaka zitende majukumu yake.

REJEA CHACHE HAPA;
1. Sabaya hakutegemea kama angetoswa.

2. Tangia 2012-13 Masheikh wa Uamsho walikua na kesi ya Ugaidi ila ndani ya cku 100 za bi mkubwa waliachiwa huru.

3. Wale miungu watu wamepukutika mmoja baada ya mwingine.

Ahsante
 
Amani iwe juu yenyu wanajukwaa!

Mimi nataka kujua, hivi katika hii kesi ya Mbowe mnufaika ni Jamhuri au CCM?
Nauliza hivi kwa sababu najaribu kutazama kwa jicho la mbali ni kwamba, Mhe Mbowe hana records mbaya za kuisumbua serikali na wala hajawahi kulazwa jela kwa matukio ya utovu wa kinidhamu zaidi ya siasa tu. Sasa kwenye hii kesi yake mnufaika ni Jamhuri au CCM? Kama ni hivyo, CCM watanufaika na kipi Mbowe akiwa Jela?

Sina mjadala na hasara watakayoipata CHADEMA Mbowe akifungwa jela ingawa wao wanaweza kuchukulia poa, huyu ni Gwiji wa siasa za upinzani nchini, nadhani ukimtafuta mtu wa aina yake CCM labda unaweza kumpata Mzee Mangula,JK,Kinana na Lowasa. Lakini kiwatoa wazee hawa ambao umri wao umeshakimbia,hakuna CCM mwingine wa kumfikia Mbowe.

Hivyo ni lazima tukubaliane kua Mbowe awapo Jela CHADEMA kitatetereka sana na nafikiri hii ndiyo shabaha kuu ya kesi hii. Mbowe ni sponsor, ni leader,Ni motivator, ni educators, ni mentor, ni great thinker,ni decision maker. Hakuna ahueni ndani ya CHADEMA Mbowe awapo Jela.



^^^^^°°°Naripotia kutoka msitu wa Mbao Uhoro-Rufiji^^^^^^°°°°°

FUNDI MADIRISHA.
Mnufaika si Jamhuri wala CCM, ni mama na kundi lake.
 
Technically CCM=Jamhuri...

Bila shaka umeshawahi sikia sana neno "serikali ya CCM..."
 
Amani iwe juu yenyu wanajukwaa!

Mimi nataka kujua, hivi katika hii kesi ya Mbowe mnufaika ni Jamhuri au CCM?
Nauliza hivi kwa sababu najaribu kutazama kwa jicho la mbali ni kwamba, Mhe Mbowe hana records mbaya za kuisumbua serikali na wala hajawahi kulazwa jela kwa matukio ya utovu wa kinidhamu zaidi ya siasa tu. Sasa kwenye hii kesi yake mnufaika ni Jamhuri au CCM? Kama ni hivyo, CCM watanufaika na kipi Mbowe akiwa Jela?

Sina mjadala na hasara watakayoipata CHADEMA Mbowe akifungwa jela ingawa wao wanaweza kuchukulia poa, huyu ni Gwiji wa siasa za upinzani nchini, nadhani ukimtafuta mtu wa aina yake CCM labda unaweza kumpata Mzee Mangula,JK,Kinana na Lowasa. Lakini kiwatoa wazee hawa ambao umri wao umeshakimbia,hakuna CCM mwingine wa kumfikia Mbowe.

Hivyo ni lazima tukubaliane kua Mbowe awapo Jela CHADEMA kitatetereka sana na nafikiri hii ndiyo shabaha kuu ya kesi hii. Mbowe ni sponsor, ni leader,Ni motivator, ni educators, ni mentor, ni great thinker,ni decision maker. Hakuna ahueni ndani ya CHADEMA Mbowe awapo Jela.



^^^^^°°°Naripotia kutoka msitu wa Mbao Uhoro-Rufiji^^^^^^°°°°°

FUNDI MADIRISHA.
Hakuna faida yoyote kwa CCM wala Jamhuri bali ni kuongeza chuki miongoni mwa Watanzania wafuasi wa chama chake na wasio hasa iwanaothirika kutokana kukasirishwa na kesi hizi zenye visasi.

Tanzania itakuwa na watu wenye chuki na visasi vingi sana hasa kwenye kada ya kisiasa, kiuchumi na kijamii maana wameathiriwa vibaya sana huku wenye madaraka na matajiri wakiwa na nafuu ya fursa
 
Amani iwe juu yenyu wanajukwaa!

Mimi nataka kujua, hivi katika hii kesi ya Mbowe mnufaika ni Jamhuri au CCM?
Nauliza hivi kwa sababu najaribu kutazama kwa jicho la mbali ni kwamba, Mhe Mbowe hana records mbaya za kuisumbua serikali na wala hajawahi kulazwa jela kwa matukio ya utovu wa kinidhamu zaidi ya siasa tu. Sasa kwenye hii kesi yake mnufaika ni Jamhuri au CCM? Kama ni hivyo, CCM watanufaika na kipi Mbowe akiwa Jela?

Sina mjadala na hasara watakayoipata CHADEMA Mbowe akifungwa jela ingawa wao wanaweza kuchukulia poa, huyu ni Gwiji wa siasa za upinzani nchini, nadhani ukimtafuta mtu wa aina yake CCM labda unaweza kumpata Mzee Mangula,JK,Kinana na Lowasa. Lakini kiwatoa wazee hawa ambao umri wao umeshakimbia,hakuna CCM mwingine wa kumfikia Mbowe.

Hivyo ni lazima tukubaliane kua Mbowe awapo Jela CHADEMA kitatetereka sana na nafikiri hii ndiyo shabaha kuu ya kesi hii. Mbowe ni sponsor, ni leader,Ni motivator, ni educators, ni mentor, ni great thinker,ni decision maker. Hakuna ahueni ndani ya CHADEMA Mbowe awapo Jela.



^^^^^°°°Naripotia kutoka msitu wa Mbao Uhoro-Rufiji^^^^^^°°°°°

FUNDI MADIRISHA.
Kwani wahalifu wote waliofungwa magerezani huwa ni faida kwa naniii??
 
Mkuu ukitoka Msamvu kuelekea njia ya Dodoma baada ya kumaliza kitongoji cha Kihonda nimeona magogo mengi yamerundikwa upande wa kushoto..yatakua ya kuziba barabara na kufanya ugaidi haya.
Yameletwa au yamewekwa?
 
Hata swali lenyewe hujaluelewa, kwa kweli ujinga ni jambo la kitaifa... Terrorism = Utalii....
Terrorist is equivalent to UGAIDI whilst Terrorism is proportional to Tourism (noun, pronoun, verb, subject, object and adjective) is a prevailing problem among Tanzanians who had not studied English language correctly from the seasoned scholars.

The argument on terrorist definition is neither holistic nor unique to demonstrate its acceptance to to the community as some other person or grouping considers the movement is 'freedom fighter'

Terror-that strategy as asymmetrical deployment of threats and violence against enemies using means that fall outside the forms of political struggle routinely operating within some current regime
Terrorist-is a person who uses unlawful violence and intimidation, threats especially against civilians to advance political aims
Terrorism-unlawful use of violence or threats with intent to frighten/intimidate or coerce civilians or government with the goals of furthering ideological, social or political objectives.

Terrorism and Terrorist Acts
  • Surveillance—Someone or electronic device recording or monitoring activities, taking notes, using cameras, maps, binoculars, etc., near a key facility for unknown cause
  • Suspicious Questioning—Someone attempting to gain information in person, by phone, mail, e-mail, etc., obtaining personal details including name(s) regarding person(s)/personnel or key facility on target?
  • Tests of Security— any attempts to penetrate or test physical security or procedures at a key military base, security agency or nation’s financial facility
  • Acquiring Supplies—Someone attempting to improperly acquire explosives, weapons, ammunition, dangerous chemicals, uniforms, badges, flight manuals, access cards or identification for a key facility or to legally obtain items under suspicious circumstances that could be used in a terrorist attack
  • Suspicious Persons—Someone who does not appear to belong in the workplace, neighborhood, business establishment or near a key facility for unknown cause. This does not mean that we should profile individuals, but does mean that we should profile behavior and verify for authenticity.
  • Terrorism doesn't only involve the killing of innocent people, it threatens democratic institutions, judiciary decisions, undermines economies and destabilizes the sitting regime fail achieve its planning convenient to incite rebellious across the state. Normally terrorism respects no limits, geographic landscape or moral standards to stage the destructive strategy for mileage gain.
Therefore;
Terror acts, terrorism behavior and terrorist character are inseparable concepts, coherent entities, effectual actors and enemies of no mercy to innocent individuals who should be collectively fought and outsmarted to guarantee safety, peace and tranquility.
 
Amani iwe juu yenyu wanajukwaa!

Mimi nataka kujua, hivi katika hii kesi ya Mbowe mnufaika ni Jamhuri au CCM? Nauliza hivi kwa sababu najaribu kutazama kwa jicho la mbali ni kwamba, Mhe Mbowe hana records mbaya za kuisumbua serikali na wala hajawahi kulazwa jela kwa matukio ya utovu wa kinidhamu zaidi ya siasa tu. Sasa kwenye hii kesi yake mnufaika ni Jamhuri au CCM? Kama ni hivyo, CCM watanufaika na kipi Mbowe akiwa Jela?

Sina mjadala na hasara watakayoipata CHADEMA Mbowe akifungwa jela ingawa wao wanaweza kuchukulia poa, huyu ni Gwiji wa siasa za upinzani nchini, nadhani ukimtafuta mtu wa aina yake CCM labda unaweza kumpata Mzee Mangula, JK, Kinana na Lowasa. Lakini kiwatoa wazee hawa ambao umri wao umeshakimbia,hakuna CCM mwingine wa kumfikia Mbowe.

Hivyo ni lazima tukubaliane kua Mbowe awapo Jela CHADEMA kitatetereka sana na nafikiri hii ndiyo shabaha kuu ya kesi hii. Mbowe ni sponsor, ni leader, Ni motivator, ni educators, ni mentor, ni great thinker,ni decision maker. Hakuna ahueni ndani ya CHADEMA Mbowe awapo Jela.

Naripotia kutoka msitu wa Mbao Uhoro-Rufiji

FUNDI MADIRISHA.
kwanza ni declare interest zangu, mimi sijawahi kuwa shabiki wa mbowe tangu kipindi hicho na sidhani kama itakuja tokea.

pia naamini kwa asilimia kubwa kuwa mbowe alitaka kumdhuru sabaya achilia mbali hizo tirarira za kina kibatala huko kisutu! na sababu iko wazi kuwa sabaya alitumika sana kumhujumu huku akilindwa na mamlaka za juu (refer the late Anna Mungwira alivyokuwa akilalamika na asiwe na cha kumfanya), kwa hiyo hakukuwa na jinsi zaidi ya yeye kujitetea! hata kama ungekuwa wewe lazima ungetafuta jinsi ya kujitetea! ushahidi ni huu wa sasa kuwa sabaya yupo jela na kesi zingine zinaendelea za kuendesha genge la uhalifu.
wamuachie mbowe aendelee na shughuli zake, hii kesi haina kichwa wala miguu kwa mtu aliyetafuta kujiokoa kutoka kwa jambazi.
 
Back
Top Bottom