Mhe Mbowe akifungwa jela, ni faida kwa CCM au Jamhuri?

hujaeleweka ktk comment je ndio ingekuwa thread hii?
 
Mnajua nyie Pro Chadema mnachekesha sana. Yaani mambo ya kisheria mnayageuza kuwa ya kisiasa. Kwani Mtu kushindwa kutafsiri lugha kwa ufasaha ina mantiki gani kwenye kesi ya msingi? Halafu Mahakama haihukumu kwa kuangalia ushahidi unaotolea na mtu mmoja bali uzito wa ushahidi uliotolewa kwenye kesi husika kwa kulinganisha na utetezi.

Ukifuatilia kwa umakini, mawakili wa upande wa utetezi wanauliza maswali mengi ya kipumbavu yasiyo ya msingi kwa mashahidi wanaoletwa na jamhuri, kitu ambacho kitakuja kuwagharimu mbele ya safari.

Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…