Mhe. Rais mpendwa sijaona post yako ya kutu wish heri ya x mas

Mhe. Rais mpendwa sijaona post yako ya kutu wish heri ya x mas

🙏🏿🙏🏿🙏🏿

IMG-20241225-WA0000.jpg
 
Niliskia dini ya Mnyaazi Mungu wanakatazwa kuwatakia wakristu kheri ya Christmas kisa eti ni Makafiri.
 
Mh rais naona amekaa kimya sana. Ameshimdwa hata kutu wish heri ya x mas kweli. Japo hatuna kitu lakini akitu wish tunagarijika
Ngoja nipuepekue nione kama kweli hakuwatakia heri ya Krismas.
 
Mh rais naona amekaa kimya sana. Ameshimdwa hata kutu wish heri ya x mas kweli. Japo hatuna kitu lakini akitu wish tunagarijika
Tundu Antipas Lisu kaingiza ngadu kwenye sherehe.

Watu wamepagawa. Waache wapumue kwanza
 
Back
Top Bottom