Mhe. Rais mpendwa sijaona post yako ya kutu wish heri ya x mas

french

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2017
Posts
3,572
Reaction score
3,726
Mh rais naona amekaa kimya sana. Ameshimdwa hata kutu wish heri ya x mas kweli. Japo hatuna kitu lakini akitu wish tunagarijika
 
Niliskia dini ya Mnyaazi Mungu wanakatazwa kuwatakia wakristu kheri ya Christmas kisa eti ni Makafiri.
 
Mh rais naona amekaa kimya sana. Ameshimdwa hata kutu wish heri ya x mas kweli. Japo hatuna kitu lakini akitu wish tunagarijika
Ngoja nipuepekue nione kama kweli hakuwatakia heri ya Krismas.
 
Mh rais naona amekaa kimya sana. Ameshimdwa hata kutu wish heri ya x mas kweli. Japo hatuna kitu lakini akitu wish tunagarijika
Tundu Antipas Lisu kaingiza ngadu kwenye sherehe.

Watu wamepagawa. Waache wapumue kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…