Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,705
- 4,703
Maafisa wa manispaa ya Morogoro wamejimilikisha ’vizimba’ na kupangisha upya kwa gharama ya juu! Kwa ujumla kilichotokea Morogoro ni matumizi mabaya ya ofisi ambayo ktk serikali, yako kila sehemu.
1. Ukiwa Afisa Ardhi, unapima viwanja na kujimilikisha viwanja vingi ili uwauzie wengine.
2. Ukiwa afisa wa Wizara ya Elimu, unajenga shule nyingi watoto wako unawapanga shule nzuri zenye waalimu wa kutosha.
3. Nyumba za National Housing zinachukuliwa na maafisa halafu wanazipangisha upya kwa wengine.
4. Ukiwa waziri wa ujenzi unatangaza tenda kampuni yako ndo inapewa kujenga mradi.
5. Ukiwa daktari unafika muhimbili kusikiliza wagonjwa wa kifua, halafu unawaelekeza kwenye duka lako la dawa au mashine yako ya vipimo vya kichwa hapo Upanga.
6. Ukiwa afisa wa TCU au mikopo ya elimu ya juu unawapangia watoto wako masomo wanayoyataka na mikopo, wengine unawalazimisha na hata kuwanyima mikopo.
7. ......................etc.
Tusemeje sasa? Manispaa walikosea lakini ni kila sehemu ni uozo.
1. Ukiwa Afisa Ardhi, unapima viwanja na kujimilikisha viwanja vingi ili uwauzie wengine.
2. Ukiwa afisa wa Wizara ya Elimu, unajenga shule nyingi watoto wako unawapanga shule nzuri zenye waalimu wa kutosha.
3. Nyumba za National Housing zinachukuliwa na maafisa halafu wanazipangisha upya kwa wengine.
4. Ukiwa waziri wa ujenzi unatangaza tenda kampuni yako ndo inapewa kujenga mradi.
5. Ukiwa daktari unafika muhimbili kusikiliza wagonjwa wa kifua, halafu unawaelekeza kwenye duka lako la dawa au mashine yako ya vipimo vya kichwa hapo Upanga.
6. Ukiwa afisa wa TCU au mikopo ya elimu ya juu unawapangia watoto wako masomo wanayoyataka na mikopo, wengine unawalazimisha na hata kuwanyima mikopo.
7. ......................etc.
Tusemeje sasa? Manispaa walikosea lakini ni kila sehemu ni uozo.