mhe. SITTA Umeanza VIBAYA 180M zimepotea na Kanuni hata ya Dua ya kushuku Imevunjwa

mhe. SITTA Umeanza VIBAYA 180M zimepotea na Kanuni hata ya Dua ya kushuku Imevunjwa

mshumbue-soi

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2013
Posts
1,842
Reaction score
1,148
Wanajamvi

Mhe. Sita ameanza vibaya kwa kuanza kuvunja kanuni

Inayotaka Mhe Rais atangulie kwanza alizindue ndo lianze kazi ya
kwanza kupokea Rasimu na maelezo ya Mkit wa Tume. Akaanzisha hoja kutengua kanuni Rais atanguliwe na mkiti wa Tume MAAJABU.

Hana hata huruma na Mamilioni ya Watanzania kuteketea. Wanasaini na kazi hawafanyi kutokana Spika kutozingatia kanuni.
Mfano walioingia bungeni leo ni 600xtsh.300,000=180,000,000.

3.Hata dua ya kulihairisha bunge hajaisoma wakati anahairisha amendelea kuvunja kanuni.
Alaumiwe kwa kuwa

1.Kuvunja kanuni za kuzindua bunge maalumu ikumbukwe yeye ndo alianzisha hoja na wala si mjumbe aliyesema kanuni zitengulie Jaji amtangulie Rais.

2. Wageni kupewa siku 3 wakati Jaji aliyetembea Tanzania na tume kukusanya maoni ya Wananchi awasilishe kwa Masaa 2 tu.

Hakuona busara kutengua kanuni aongezewe muda hata siku 2 bali wageni tena wa Kenya ambayo sio nchi ya Muungano ni aibu.

3. Kuvuruga shughuli za wiki hii wajumbe wasifanye kilichowapeleka kuanza Semina tena.
 
Hivi tunaandaa katiba yetu au ya kenya??mimi uwa inanishangaza sana,pale mambo yanapowapendezesha wakubwa wanacopy kutoka nje,yanayowabana wanadai eti mazingira yao hayafanani na yetu.
Ni ujinga kumpa mtu wa nje siku 3 eti semina,wenye katiba (maoni ya wananchi) wanapewa saa 2!!hao hawana mgogoro wa serikali ngapi sisi tunazo!!hapa ni sawa kupeleka suala la mgogoro wa ndoa kwa padri wakati hana uzoefu wa ndoa!!
 
Wamkate posho huyo Sitta kwa kuliingizia taifa hasara, tena kwa makusudi.
 
Sita kaanza safari kwa mguu mbaya.Kumbuka uliaminiwa kwa kupewa kura na wabunge hata wa upinzani na wasiokuwa na vyama.Hata huku nje watu walipumua kuwa sasa mambo mazuri.Sasa umeanza kufanya vitu gani?Umeshindwa na mwenyekiti wa muda hata kabla ya kuanza.visomo na uzoefu mnaolingia unawasaidia nini basi?kuvunja kanuni?
 
Sitta amefunikwa na kificho ile mbaaaya! Nimeamini mgema akisifiwa kweli tembo hulitia maji!
 
Sitta amefunikwa na kificho ile mbaaaya! Nimeamini mgema akisifiwa kweli tembo hulitia maji!

Kificho kashindwa kwenye kura za siri/wazi! Hakuna wa kumcheka mwenzake ndugu! Pia Kificho huyu huyu kaahirisha Bunge mara kadhaa kwa sababu ya fujo! Sasa huo mfuniko uliomfunika Sitta uko wapi?
 
Back
Top Bottom