Mhe. Sumaye aponda wanasiasa wanaozuia Viongozi wa Dini Kukosoa wanasiasa

Mhe. Sumaye aponda wanasiasa wanaozuia Viongozi wa Dini Kukosoa wanasiasa

Smart mwananchi

Senior Member
Joined
Jul 17, 2014
Posts
102
Reaction score
50
Mhe Sumaye alisema bila kupepesa macho kuwa viongozi wa Dini wanna wajibu wa kukemea na kuwarudisha kwenye njia sahihi wanasiasa akasema namsikia mwanasiasa anasema mnatuingilia...nani kasema mnatuingilia nanukuuu Kosoa Kemea Kemea Amani akipotea kuipata siyo rahisi na ikirudi siyo kama mwanzo...akatoa angalizo pia kuwa msingi wa haki kwenye uchaguzi Mkuu unaanza na zoezi LA uandikishaji hivyo wananchi wanatakiwa waone na wajisikie wametendewa haki kwenye zoezi LA kujiandikisha kama msingi wa Amani kwenye nchi yetu..Mhe. Sumaye alikuwa mgeni rasmi uzinduzi wa DVD KKKT Sinza
 
tatizo lao hawa wanapokuwa hawako kwenye system ndo wanasema...wakiwa kwenye system hawaoni wala hawasikii
 
Naona kuna mtu kapigwa chini ya mkanda kwa kauli hii!!!
 
Sumaye anafaa sana kuwa msemaji wa timu ya mpira...maneno meeeengi!!!
 
Back
Top Bottom