Mhe. Tulia Ackson Naona unatumia gharama kubwa kukimbiza upepo na kukusanya fedha za kampeni 2025 kuliko kutekeleza ahadi zako

Mhe. Tulia Ackson Naona unatumia gharama kubwa kukimbiza upepo na kukusanya fedha za kampeni 2025 kuliko kutekeleza ahadi zako

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Kuna wabunge ambao ni kama bado awajaamini kwamba niwabunge Hadi wawe wabunge. Nasema hivyo Kwa Sababu, unapokuwa na Spika WA Bunge ambaye ni mbunge anayewaza matamasha na mchakamchaka kuliko kukaa na wananchi kutatua shida zao unajiuliza tumekosea wapi?

NI wapi Duniani maendeleo yameletwa na matamasha? NI wapi Duniani viongozi wanatumia miaka mitano kukusanya fedha zisizokaguliwa matumizi yake Kwa mgongo wa nafasi walizonazo?

NI fedha kiasi Tulia anakusanya na hakuna sehemu zinqfanyiwa ukaguzi? Hizo fedha zinakwenda kwenye foundation yake Kwa sheria ipi? Je kila analipa Kodi? Kwa mfumo gani?

Kama anaamini kwenye matamasha na anao uhakika kwamba fedha anazopata si Kwa Sababu ya Ofisi yake, atueleze kabla yakuwa spika alikuwa na uwezo wakuamrisha wafanyabiashara waache shughuli zao wakakimbie marathons?

Natamani wazee wetu akina Omben Sefue, Luanjo, Prof Assad, Mzee Ludovik Utto, Mzee Warioba, Mzee Jeseph Butiku na watu wa karba hii wakae na viongozi hawa vijana wawaeleze Does na Don't katika mifumo ya serikali. Wawaeleze maana ya conflicts of interest na mfumo mzima WA maadili ya viongozi wa kitaifa.

Tunapoyafumbia macho haya tunatengeneza mazingira ya utakatishaji fedha kwenye nchi kwamba kesho MTU atatuhumiwa Kwa ubadhirifu atasema nilikusanya kwenye marathon, mtu atafuta njia yakuiba na atajificha kwenye hizi taasisi na mifumo ya upataji fedha isiyokaguliwa.


LAZIMA KAMA SERIKALI WAWEKE UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI....MTU ANAANZISHA TULIA FOUNDATION MAY BE KWA NIA NJEMA ILA UZI HUU UMFUMBUE MACHO KWAMBA UPO WAKATI TAASISI KAMA HII INAWEZA KUTUMIKA VIBAYA.


ARUDI KWENYE MAJUKUMU YA MBUNGE , ALINDE NAFASI NA HADHI YA SPIKA KAMA MKUU WA MUIMILI. TULIA FOUNDATION HAIWEZI KUTENGANISHWA NA MUHIMILI WA BUNGE YEYE AKIWA SPIKA.
 
Kuna wabunge ambao ni kama bado awajaamini kwamba niwabunge Hadi wawe wabunge. Nasema hivyo Kwa Sababu, unapokuwa na Spika WA Bunge ambaye ni mbunge anayewaza matamasha na mchakamchaka kuliko kukaa na wananchi kutatua shida zao unajiuliza tumekosea wapi?

NI wapi Duniani maendeleo yameletwa na matamasha? NI wapi Duniani viongozi wanatumia miaka mitano kukusanya fedha zisizokaguliwa matumizi yake Kwa mgongo wa nafasi walizonazo?

NI fedha kiasi Tulia anakusanya na hakuna sehemu zinqfanyiwa ukaguzi? Hizo fedha zinakwenda kwenye foundation yake Kwa sheria ipi? Je kila analipa Kodi? Kwa mfumo gani?

Kama anaamini kwenye matamasha na anao uhakika kwamba fedha anazopata si Kwa Sababu ya Ofisi yake, atueleze kabla yakuwa spika alikuwa na uwezo wakuamrisha wafanyabiashara waache shughuli zao wakakimbie marathons?

Natamani wazee wetu akina Omben Sefue, Luanjo, Prof Assad, Mzee Ludovik Utto, Mzee Warioba, Mzee Jeseph Butiku na watu wa karba hii wakae na viongozi hawa vijana wawaeleze Does na Don't katika mifumo ya serikali. Wawaeleze maana ya conflicts of interest na mfumo mzima WA maadili ya viongozi wa kitaifa.

Tunapoyafumbia macho haya tunatengeneza mazingira ya utakatishaji fedha kwenye nchi kwamba kesho MTU atatuhumiwa Kwa ubadhirifu atasema nilikusanya kwenye marathon, mtu atafuta njia yakuiba na atajificha kwenye hizi taasisi na mifumo ya upataji fedha isiyokaguliwa.


LAZIMA KAMA SERIKALI WAWEKE UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI....MTU ANAANZISHA TULIA FOUNDATION MAY BE KWA NIA NJEMA ILA UZI HUU UMFUMBUE MACHO KWAMBA UPO WAKATI TAASISI KAMA HII INAWEZA KUTUMIKA VIBAYA.


ARUDI KWENYE MAJUKUMU YA MBUNGE , ALINDE NAFASI NA HADHI YA SPIKA KAMA MKUU WA MUIMILI. TULIA FOUNDATION HAIWEZI KUTENGANISHWA NA MUHIMILI WA BUNGE YEYE AKIWA SPIKA.
Njiti alipewa ubunge na yule mwovu wa chato anajua kabisa kuwa hakuchaguliwa na wapiga kura.
 
Kuna wabunge ambao ni kama bado awajaamini kwamba niwabunge Hadi wawe wabunge. Nasema hivyo Kwa Sababu, unapokuwa na Spika WA Bunge ambaye ni mbunge anayewaza matamasha na mchakamchaka kuliko kukaa na wananchi kutatua shida zao unajiuliza tumekosea wapi?

NI wapi Duniani maendeleo yameletwa na matamasha? NI wapi Duniani viongozi wanatumia miaka mitano kukusanya fedha zisizokaguliwa matumizi yake Kwa mgongo wa nafasi walizonazo?

NI fedha kiasi Tulia anakusanya na hakuna sehemu zinqfanyiwa ukaguzi? Hizo fedha zinakwenda kwenye foundation yake Kwa sheria ipi? Je kila analipa Kodi? Kwa mfumo gani?

Kama anaamini kwenye matamasha na anao uhakika kwamba fedha anazopata si Kwa Sababu ya Ofisi yake, atueleze kabla yakuwa spika alikuwa na uwezo wakuamrisha wafanyabiashara waache shughuli zao wakakimbie marathons?

Natamani wazee wetu akina Omben Sefue, Luanjo, Prof Assad, Mzee Ludovik Utto, Mzee Warioba, Mzee Jeseph Butiku na watu wa karba hii wakae na viongozi hawa vijana wawaeleze Does na Don't katika mifumo ya serikali. Wawaeleze maana ya conflicts of interest na mfumo mzima WA maadili ya viongozi wa kitaifa.

Tunapoyafumbia macho haya tunatengeneza mazingira ya utakatishaji fedha kwenye nchi kwamba kesho MTU atatuhumiwa Kwa ubadhirifu atasema nilikusanya kwenye marathon, mtu atafuta njia yakuiba na atajificha kwenye hizi taasisi na mifumo ya upataji fedha isiyokaguliwa.


LAZIMA KAMA SERIKALI WAWEKE UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI....MTU ANAANZISHA TULIA FOUNDATION MAY BE KWA NIA NJEMA ILA UZI HUU UMFUMBUE MACHO KWAMBA UPO WAKATI TAASISI KAMA HII INAWEZA KUTUMIKA VIBAYA.


ARUDI KWENYE MAJUKUMU YA MBUNGE , ALINDE NAFASI NA HADHI YA SPIKA KAMA MKUU WA MUIMILI. TULIA FOUNDATION HAIWEZI KUTENGANISHWA NA MUHIMILI WA BUNGE YEYE AKIWA SPIKA.
Ujio wa Tume Huru ya Uchaguzi umefanya 90% ya wabunge wa ccm kutafuta vichaka
 
Chadema tushawazoea kukosoa vitu hata vya muhimu

Kama Hadi lisu alikuwa anawatetea watoroshaji makinikia.......
 
Kuna wabunge ambao ni kama bado awajaamini kwamba niwabunge Hadi wawe wabunge. Nasema hivyo Kwa Sababu, unapokuwa na Spika WA Bunge ambaye ni mbunge anayewaza matamasha na mchakamchaka kuliko kukaa na wananchi kutatua shida zao unajiuliza tumekosea wapi?

NI wapi Duniani maendeleo yameletwa na matamasha? NI wapi Duniani viongozi wanatumia miaka mitano kukusanya fedha zisizokaguliwa matumizi yake Kwa mgongo wa nafasi walizonazo?

NI fedha kiasi Tulia anakusanya na hakuna sehemu zinqfanyiwa ukaguzi? Hizo fedha zinakwenda kwenye foundation yake Kwa sheria ipi? Je kila analipa Kodi? Kwa mfumo gani?

Kama anaamini kwenye matamasha na anao uhakika kwamba fedha anazopata si Kwa Sababu ya Ofisi yake, atueleze kabla yakuwa spika alikuwa na uwezo wakuamrisha wafanyabiashara waache shughuli zao wakakimbie marathons?

Natamani wazee wetu akina Omben Sefue, Luanjo, Prof Assad, Mzee Ludovik Utto, Mzee Warioba, Mzee Jeseph Butiku na watu wa karba hii wakae na viongozi hawa vijana wawaeleze Does na Don't katika mifumo ya serikali. Wawaeleze maana ya conflicts of interest na mfumo mzima WA maadili ya viongozi wa kitaifa.

Tunapoyafumbia macho haya tunatengeneza mazingira ya utakatishaji fedha kwenye nchi kwamba kesho MTU atatuhumiwa Kwa ubadhirifu atasema nilikusanya kwenye marathon, mtu atafuta njia yakuiba na atajificha kwenye hizi taasisi na mifumo ya upataji fedha isiyokaguliwa.


LAZIMA KAMA SERIKALI WAWEKE UDHIBITI WA MATUMIZI MABAYA YA SERIKALI....MTU ANAANZISHA TULIA FOUNDATION MAY BE KWA NIA NJEMA ILA UZI HUU UMFUMBUE MACHO KWAMBA UPO WAKATI TAASISI KAMA HII INAWEZA KUTUMIKA VIBAYA.


ARUDI KWENYE MAJUKUMU YA MBUNGE , ALINDE NAFASI NA HADHI YA SPIKA KAMA MKUU WA MUIMILI. TULIA FOUNDATION HAIWEZI KUTENGANISHWA NA MUHIMILI WA BUNGE YEYE AKIWA SPIKA.
Kwa akili zenu mnadhani ni rahisi kuchukua Jimbo la kiongozi wa mhimili? Yaani kwamba Kuna watu wanajipanga kugombea kwa tulia? Au kwa majaliwa? Labda kama wanataka cv ya kutia nia
 
WANACHOJUWA WATANZANIA MNAPENDA KUONA WATU WAKIKATA MAUNO NDOMANA
MARA MNAPELEKEWA ZUCHU SJUI
MONDI NA WENZAO

OVA
 
sijui lile bonanza wametumia garama gani asisee huyu bibi ni mtu wa promo sana
Nchi hii kila kukicha mabonanza
Na kuwawekea wasanii watu
Ok,bonanza limeisha hapo
What next.....

Ova
 
Kwa akili zenu mnadhani ni rahisi kuchukua Jimbo la kiongozi wa mhimili? Yaani kwamba Kuna watu wanajipanga kugombea kwa tulia? Au kwa majaliwa? Labda kama wanataka cv ya kutia nia
Safari hii hakuna kupita bila kupingwa kama Ruangwa
 
Kwa akili zenu mnadhani ni rahisi kuchukua Jimbo la kiongozi wa mhimili? Yaani kwamba Kuna watu wanajipanga kugombea kwa tulia? Au kwa majaliwa? Labda kama wanataka cv ya kutia nia
Crap from another cripple mind.
 
Sisi tuliopo mbeya tunaona at least now mambo ni moto


Maendeleo Kila Kona .....full .bara bara 4 ways.......
 
sijui lile bonanza wametumia garama gani asisee huyu bibi ni mtu wa promo sana
Kumshusha Mondi bro tena mbeya sio hela ya kitoto na tamasha lenyewe marathon, noma sana
 
Back
Top Bottom