Mhe Waziri hujafunga zipu!

Bongo joto kali sana air condition ya nguvu. Itakuwa fashion sasa mtu na press conference anafungua zipu. Mnasahau kuuliza maswali yenu yote mnawaza zipu ya mtu zenu mnaangalia mkimaliza nyeto?
 
Hapo Alikuwa Anawaza Jinsi Report Ya Bot Takavyoumbuka Msameeni Jamani
 
hawa wazee wameshachoka JK anaambiwa awapumzishe bado kawakumbatia hii nindogo bado watakuja mkutanoni wamegeuza mashati
 
inaonekana kanali wewe nimtaalam sana wa punyeto that`s why kitu chakwanza ulichokumbuka nihicho.kwani wewe huwa unafunga unapomaliza!!!???
 
Hofu ya Balali unafikiri Mchezo na kidume Balali lazima ninavyomjua atawataja tuu watu. Ila hii mheshimiwa duuu kweli noma hata kama ndio hofu kwa maana kila saa utaenda maliwato lakini haiwezi ikawa ndio shortcut hata kama unakwenda mara kwa mara
 
Mmmmh nyie mnatafuta balaa, mzee wa watu mnamchungulia hadi kwenye ashakum? Mtalaanika nyie, mi simo
 
This Can Happen To Anybody.it Is Not A Big Deal.
Wabaya Ni Wale Waliona Na Hawakumtarifu.
 
This Can Happen To Anybody.it Is Not A Big Deal.
Wabaya Ni Wale Waliona Na Hawakumtarifu.

Ndiyo hapo watakapolaanika badala ya kumtaarifu wanamldhalilisha kwa kuweka picha kwenye mtandao. Walikusudia nini? Jamani mkubwa dawa eheeee!!!!!!!!!!!!!
 
Hii mada ya karne hizo umeenda kuifukua Huko kwa manufaa ya nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…