Mheshimiwa Edward Lowassa ni maarufu sana mitandaoni

Mhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.

Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia jina lake.
ndio mkuu lowassa ni rais wa facebook tanzania
 
Mhe Edward Lowassa, jina lake ni maarufu sana kuliko majina mengine Facebook. Watu wengi wanalitumia jina lake Facebook yaani account za facebook.

Pia kuna Facebook pages nyingi sana zinatumia jina lake.
Sawa

What next?
 
Siyo mapenzi hayo Ni Mahubati...Viva LOWASSA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…