Mheshimiwa Jenista Mhagama tunaomba mabadiliko ya wakaguzi wakuu wa shule kanda

Mheshimiwa Jenista Mhagama tunaomba mabadiliko ya wakaguzi wakuu wa shule kanda

karibukwetusingida

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2014
Posts
290
Reaction score
137
Sisi ni wafanyakazi wa idara ya ukaguzi,tunaomba wakaguzi wakuu wa kanda wabadilishwe mara moja ili kuongeza ufanisi katika idara hii,maana kuna wakaguzi wakuu wamekaa muda sana na wanajifanya hizi kanda kama za kwao,tunakuomaba sana mh. mhangama wabadilishe mapema.
 
Back
Top Bottom