Sangarara
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 13,104
- 5,659
Nimetoka kumsikia anasema mtoto wake mmoja ametoka kuchukua cpa juzi, sijaelewa kama alikuwa anamaanisha kwamba ametoka kufanya mitihani ya nbaa may hii, au amegraduate mwaka jana.
huyu muhasibu mwenzangu sijui yeye atakuwa ametumia technique gani kwenda kuchukua cpa, kachukua tu.
huyu muhasibu mwenzangu sijui yeye atakuwa ametumia technique gani kwenda kuchukua cpa, kachukua tu.