Elections 2010 Mheshimiwa John Pombe Magufuli awe Rais wetu


Kwa mawazo haya, ni kweli kabisa kuwa sisi watanzania ni watu waajabu sana!
 
Wakina msoga wamemwaga mboga, na wazee matumaini wakamwaga ugali
 
Hafai, hajui kuanalyaise mambo,ana kalili tu,takwimu zake nyingi ni uongo! wabongo mfatilieni kwa ukaribu mtagundua ana mapungufu mengi tu.

Kiujumla Waafrika wote wana uwezo mdogo kiakili.Licha ya mapungufu yake,Magufuli ni afadhali mara mia zaidi ya Lowasa na Membe.Km si udenzi wa Wabongo,nadhani Muhongo ndo alikuwa anaweza jukumu hilo.
 
Kwa mawazo haya, ni kweli kabisa kuwa sisi watanzania ni watu waajabu sana!

Watu wengine wanadhani mtendaji akıchukua hatua na watendewa wakachalenji hatua yake mahakamani basi yeye ndiye anachunguza na kwenda mahakani.Maswala hayo mengne yanakuwa ya DPP,POLICE NA AG.Idara zetu za kiuchunguzi na kimashtaka zina uwezo mdogo.Wamekuwa wakifail mambo mengi na sıo ıshu za magufuli tu.
 

Hivi nyie ni watu wa aina gani mbona Hamna jema? ?? Kwenu kila mtu hafai jitokezeni basi nyie tuwachague au nyie marais wa nje ya fence? ??
 
DuuuuuuhΒ…!!!! Tatu bora haina mgombea aliye haidi kupambana Dhidi ya ufisadi ulio kithiri na rushwa kubwa kubwa ndani na nje ya chama, #CC .
 
Katika vitu nchi hii ilifanya makosa ni vitatu, cha kwanza azimio la arusha pili kumpitisha jpm, tatu wachangiaji kwenye uzi huu, kosa lao halitasahaulika milele
 

Yote uliyosema yametimia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…