Elections 2010 Mheshimiwa John Pombe Magufuli awe Rais wetu

We nae kichwa kigumu, smart phone gani??.
Una hisi wote walikuwa na smart phone mzee.

HAKU kuwa na computer??, simu za button zilikuwa Zina ingia online.
My father alikuwa nayo, na nime itumia sana
Labda unaongelea Blackberry curve, lakini Blackberry hizo zilikuwa ni smartphone, mwaka 2006 kama hauna access ya laptop wengi tulitumia Blackberry kuingia Jambo forum, mara nyingi sipendi kuzurura na laptop.
 
Mtoto akililia wembe......
 
Labda unaongelea Blackberry curve, lakini Blackberry hizo zilikuwa ni smartphone, mwaka 2006 kama hauna access ya laptop wengi tulitumia Blackberry kuingia Jambo forum, mara nyingi sipendi kuzurura na laptop.
Ewaa, ni hiyo hiyo mkuu, ile kitu ilikuwa hatarii sana.

Sema black berry Ali shindwa kuendana na soko, I phone ana leta kitu Cha ku touch, ye ana leta ma button Tena.

Bora Nokia ali jiwahi mapema.
 
We nae kichwa kigumu, smart phone gani??.
Una hisi wote walikuwa na smart phone mzee.

HAKU kuwa na computer??, simu za button zilikuwa Zina ingia online.
My father alikuwa nayo, na nime itumia sana
Mfano mzuri ni mimi 2005 nilikua na blackberry yenye access na mtandao
 
Kipindi hcho Niko mwaka wa kwnza by then
 
Uliona mbali sn
 
Uliona mbali sana, na hakika ombi lako lilitimia nasi tukafaidika kwa kupata kiongozi bora wa muda wote

Mungu ampumzishe kwa Amani Mwamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…