nilishawahi kusema huko nyuma kuwa hizi kesi za kina liumba,epa,jittu patel na nyinginezo zote ni danganya toto zitapelwkwapelekwa hadi kipindi cha uchanguzi halafu mwisho wa siku hanakesi ya kujibu then anachiwa huru wakati mshadanganywa na kura zenu mmewapigia hao mafisadi hapo hakuna jipya atapeta tu uraiani